Acha kufikiri ujinga na kupandikiza chuki... habari haijitoshelezi bado unasambaza uovu ulioujaza moyoni mwako!
Anafikiri ujinga? Siku zote Ponda na genge lake walipokua wanachochea chuki za udini na utengano ulidhani mwisho wake ni nini?!
Acha kufikiri ujinga na kupandikiza chuki... habari haijitoshelezi bado unasambaza uovu ulioujaza moyoni mwako!
kWA HIYO 2 WRONGS MAKE A RIGHT??????????Anafikiri ujinga? Siku zote Ponda na genge lake walipokua wanachochea chuki za udini na utengano ulidhani mwisho wake ni nini?!
Kikwete ndiye kwanza alikuwa aende kwenye hiyo shuhuri, ikawaje akakacha na kumpeleka Pinda? Was it a set up!!
Utaendelea kutujuza Mkuu kwa jinsi utakavyozidi kupata habari, vifaa vya milipuko kwenye nyumba za Ibada?
Haya makanisa ndiyo yalianzisha mauwaji ya kimbari Rwanda.
Lasting 100 days, the Rwanda genocide left approximately 800000 Tutsis and Hutu ... The killings began in Rwanda's capital city of Kigali. ... on April 15-16, 1994 at the Nyarubuye Roman Catholic Church, located about 60 miles east of Kigali.
Source: Rwanda Genocide - A Short History of the Rwanda Genocide
Kwani bara kuna uamsho.. Au ndio yule mzee wa kupinga sensa kaanza rasmi mambo yake!?
Eeh mungu tuepushie mbali
Haya makanisa ndiyo yalianzisha mauwaji ya kimbari Rwanda.
Lasting 100 days, the Rwanda genocide left approximately 800000 Tutsis and Hutu ... The killings began in Rwanda's capital city of Kigali. ... on April 15-16, 1994 at the Nyarubuye Roman Catholic Church, located about 60 miles east of Kigali.
Source: Rwanda Genocide - A Short History of the Rwanda Genocide
Update:
zinasemaje kutoka kwa hao magaidi?