Inasemekana serikali imechukua shamba la wameru kwa nguvu na wameamua kufunga barabara ya Moshi Arusha sasa hivi na askari wa kutuliza ghasia ndio wamefika eneo la tukio na wameanza kurusha mabomu!
Tukiacha CDM iendeleze hali hii ya vurugu, TZ itakuwa kama Zimbabwe