News Alert: Tanzania yasaidia msaada wa milioni 75 Zimbabwe

Swali. Zimetoka kwenye fungu gani? Au ni mafisadi wametoa walizoiba na kuwapelekea jamaa zetu Zimbabwe. Inachekesha sana wakati wazee wa EAC, waalimu na wengine wana madai mengi tu serikali inasema haina hela. huku mabulungutu yakipelekwa Zimbabwe. Sijui kuna interest gani huko. Mwanakijiji ukiweza chimba tupate motive ya kupeleka hizo hela, labda kuna ajaneda ya siri.

...acha wewe,yaani hizo dola elfu sabini tuu kusaidia maskini wenye shida unalalamika kama umeibiwa vil;e,kumbe ni kimsaada kadogo tuu...ajenda gani ya siri kwa pesa ndogo kama hiyo!
 
...acha wewe,yaani hizo dola elfu sabini tuu kusaidia maskini wenye shida unalalamika kama umeibiwa vil;e,kumbe ni kimsaada kadogo tuu...ajenda gani ya siri kwa pesa ndogo kama hiyo!

bongo hakuna maskini?
 
...acha wewe,yaani hizo dola elfu sabini tuu kusaidia maskini wenye shida unalalamika kama umeibiwa vil;e,kumbe ni kimsaada kadogo tuu...ajenda gani ya siri kwa pesa ndogo kama hiyo!

Kuna watanzania wangapi wanakufa kutokana na kukkosa dawa za shilingi 2000 tu? ina maana hao hawawaoni wanawaona huko Zimbabwe? Mbona sasa hivi kigoma kipindupindu kimekuwa ugonjwa sugu hawashughulikii kwa kisingizio cha pesa, inakuwaje wanazo za kupeleka Zimbabwe? Hata kama wakitoa dola 1000 kuna watanzania wanaweza kusaidiwa kwa hivyo "vijisenti"
 
Unajua sisi watanzania tunachekesha sana.....

Sipingi Tanzania kutoa "msaada" Zimbabwe, ila nina fikirio moja.... Hivi huyu Bwana Berege na wenzake huko Wizara ya Afya wana-plan mambo kwa ku-prioritize issues ama kwa ku-politicize? Hivi wanahitaji msaada gani wa kufikiri ili waweze gundua kwamba gharama (fweza) waliyoitumia kupeleka huo "msaada" kwa mzee Jongwe ingeweza tumika kuweka umeme wa uhakika pale hospitalini Mbeya ambako roho za wapiga kura zinakatika kama za kuku kwa kukosekana kwa umeme wa uhakika? Ama hospitali ya Mbeya haiko chini ya wizara yao?

I don't understand kama wasomi wetu wanatumiaga common sense ama mazingaombwe in decision making. God forbid!!!
 
Binafsi nimefurahiswa na u moyo wa kutoa ambao umejionyesha lakini pia hili liwe somo kwa viongozi wetu wa Afrika na waafrika wote!
Kama tungeweza kuzalisha vya kutosha katika nchi zetu hizi na kuwa na surplus, kutumia vizuri resources zetu hakika tusingekuwa na tashwishi ya kusaidia maendeleo ya watu wetu huku Afrika kuanzia Somalia, Sudan na kuendelea.
Lakini hawa viongozi wametufanya kuwa ombaomba kila siku na inasikitisha wenzetu wamepatwa na dhahama hata kama limesababishwa na ujinga wa mtu mmoja labda Mugabe lakini binadamu wenzetu wanakufa, tutakaa kutegemea misaada ya wenzetu mpaka lini??
Genuinly hiyo 75M bado ni ndogo kwa nchi kama Tanzania kusaidia wengine, ingekuwa naambiwa mimi ama ordinary citizen achangie maendeleo ya shule nchini ama vinginevyo tungesema sawa lakini the whole country contributes 75M na bado wanafeel wamechangia - still we have a long way to go Tanzania if that is the case! We need to manage oure resources and all potentials that this coutry is endowed with to the extent of even supporting our fellows in times of troubles ndio maana West wanatudharau Afrika
sometime b'se of our own unseriousness.
Unaweza andika mpaka kesho, lakini viongozi wetu bado mna kazi ya kufanya - mlichotoa ni ishara ya empathy lakini it's a shame kuona tumefanya kitu kikubwa!
 
Tunaangalia matawi ya juu ya tatizo badala ya kuangalia mzizi wa tatizo.

Kama Zimbabwe ikiendelea kuwa na Mugabe for the next 10 years na kutokana na policies zake mbaya kipindupindu kikaendelea miaka 10 tutaendelea kuwasaidia for the next 10 years?

Kiini cha tatizo ni Mugabe na siasa zake mbaya, akiondoka Mugabe kuna uwezekano mkubwa sana Zimbabwe ika shine once again.

Mtoeni Mugabe mambo mengi tu yatakaa sawa.


You are wrong in many ways:

1) Zimbabwe's problems were not caused by Mugabe

2)Forcible intervention on humanitarian grounds is illegal as the only case intervention is legitimate is 'the right of self defence' as stated in article 51 of the UN charter in other words, there is no provision for intervention on humanitarian grounds.


So your arguments are flawed to the max
 
You are wrong in many ways:

1) Zimbabwe's problems were not caused by Mugabe

2)Forcible intervention on humanitarian grounds is illegal as the only case intervention is legitimate is 'the right of self defence' as stated in article 51 of the UN charter in other words, there is no provision for intervention on humanitarian grounds.


So your arguments are flawed to the max

1)Zimbabwe's problem are Mugabe's overdue problems, from his bloodthirtsty strongman persona to his manipulation of the land issue for political reasons.Granted the Brits have a lot to do with this but Mugabe cannot be excused. A sane person could have done a lot even with the cards dealt Mugabe. Mugabe was not interested in the land issue as he was interested in remaining in power, he only used the land issue to obscure his intention and chameleon his way back into power.

2) There is the bs that "business as usual" IR has out there (I am not talking about that) and then there is the next level of IR "(R2P and pragmatic intervention). I frankly choose the later in defiance of the old non working system that gave us The Holocaust, Rwanda, Cambodia, Bosnia and other horrors of this world. Would you rather entertain mass starvation and the pestilence of cholera than remove Mugabe and his cronies?

IR being what it is (where dips call the toilet the "water closet"), I recognize the many challenges the forceful intervention faces, and frankly this should only be employed as a measure of last resort, after all economic and political pressure options are exhausted.I realize the legal framework is murky, but the September 2005 UN Summit unanimous acceptance of R2P and other international charters invoking human rights currently violated in Zimbabwe can be used to build a case to oust Mugabe.
 
Tuliwasaidia tukawakomboa wakati wanatafuta uhuru wao sasa kama wameshindwa kujitawala wasitupotezee hela zetu za shida namna hii. The zimbabweans deservr the the government they have, they elected him.
 
Huo Msaa ni 75million Zimbabwe Dollar au 75 Million US Dollar?.

Hatukatai ni jambo zuri sana kusaidia wenzetu lakini mi nafikiri wema usizidi uwezo na wema usichukuliwe kama another opportunity ya "Ufisadi". Nchi yetu kwa sasa ipo katika njia panda, Huwezi kusaidia mtu hela za Msaada ulizosaidiwa wewe.

Nafikiri Njia pekee ya kuisaidia Zimbabwe ni hizo hela kutumika na jeshi letu kumtoa Mugabe madarakani kama hataki kutoka kwa hiyari yake. Matatizo yote haya ni outcome ya kumwachia Mugabe ang'ang'anie madaraka. Na hapa sasa tunaona kuwa cost ya Mugabe inavuka mpaka mipaka yake. Hizi 75 Mil USD zingeweza kuwarudisha wanafunzi wetu Vyuoni kama Mugabe angeheshimu uamuzi wa wananchi.

Kuna msemo usemao "Warabu wa pemba wajuana kwa viremba", na njia hii inaonesha ni jinsi gani Tanzania inamuona Mugabe kuwa yupo sahihi kwani mchezo alioucheza ni mchezo wetu hata sisi Tanzania * Ref: Uchaguzi wa Zanzibar*

Mzee hivi unafikiri tuna ubavu wa kutoa 75 million USD. Ni madafu hayo, Mramba tu au Yona peke yake anweza kuaford bila hata kutikisika. Si umeona kwenye bail zao wako bailed kwa billions not millions.
 
Back
Top Bottom