kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,750
- 594
Ni baada ya rufaa yake kutupiliwa mbali na mahakama kuu Iringa leo hii. kwenye rufaa hiyo namba 13/2010 wakili wa Makalebela alikuwa akidai kuwa hati ya mashtaka haitengenezi kosa la jinai. hii ni kwenye rufaa
aliyokata kupinga kushtakiwa kwake na takukuru
aliyokata kupinga kushtakiwa kwake na takukuru