Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mtuhumiwa wa Ughaidi Ahmed Ghailani ambaye amekuwa akishikiliwa huko Guentanamo atakuwa ni mtuhumiwa wa kwanza kutoka gereza hilo kushtakiwa katika mahakama ya Kiraia huko New York. Uamuzi huo unakuja siku chache tu kabla Rais Kikwete hajakutana na Rais Obama mjini Washington DC.
Ghailani alikamatwa huko Pakistani miaka michache iliyopitwa akidaiwa kuhusika na ulipuaji wa Ubalozi wa US mjini Dar-es-Salaam na kujihusisha na mtandao wa ughaidi wa Al-Qaida.
Kushtakiwa kwa Ghailani kwenye mahakama ya kiraia kunaweka uwezekano wa hatimaye kuweza kuhamishiwa Tanzania ambako pia anatakiwa.
Ghailani alikamatwa huko Pakistani miaka michache iliyopitwa akidaiwa kuhusika na ulipuaji wa Ubalozi wa US mjini Dar-es-Salaam na kujihusisha na mtandao wa ughaidi wa Al-Qaida.
Kushtakiwa kwa Ghailani kwenye mahakama ya kiraia kunaweka uwezekano wa hatimaye kuweza kuhamishiwa Tanzania ambako pia anatakiwa.