Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
...hao Watu Wa Bagamoyo Waache Uchuro..wametumwa Na Mtu Kuvamia Hayo Mashamba Ili Iwe Propagamnda???? Polisi Wako Wapi..mbona Kuna Mashamba Ya Wakuu Fulani Walivamia ..juzi Tu Amri Ikatoka Ikulu Kuwa Waondolewe???..tena Chini Ya Usimamizi Wa Mkuu Wa Mkoa Christine Ishengoma..tena Mashamba Yenyewe Jana Yake Walikuwa Wameruhusiwa Kuyalima Na Waziri Wa Ardhi Baada Ya Wananchi Kulalamika Kuwa Viongozi Wenye Mashamba Hayo Wameyafanya Msitu ..na Yanahatarisha Maisha Yao Kwa Chatu....na Hawayaendelezi Wanahodhi Tu..waziri Aliwaruhusu Kulima Lakini Akawaambia Wasijenge Hadi Rais Atakapotengua Hati Na Kugawiwa Upya....matokeo Yake Amri Ilkitoka Ikulu Na Mkuu Wa Mkoa Akamkandia Waziri Kwa Wananchi Kwa Jeuri....wakawartoa Wananchi Na Kuchoma Moto Maandalizi Yao Yoote...
Sasa Inakuwaje Haya Ya Balali Polisi Wakae Kimya Wakati Wana Jukumu La Kulinda Usalama Wa Raia Na Mali Zao...si Halali Hata Kidogo!!!!..hawa W3ananchi Wanatumika Kipropaganda Na Mafisasadi!!!
Sasa Inakuwaje Haya Ya Balali Polisi Wakae Kimya Wakati Wana Jukumu La Kulinda Usalama Wa Raia Na Mali Zao...si Halali Hata Kidogo!!!!..hawa W3ananchi Wanatumika Kipropaganda Na Mafisasadi!!!