Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #61
tatizo mnafikiri Wakili hakujua anachofanya!!! Lazima Mramba ahudhurie harusi ya mwanae.. shangilieni mazingaombwe yanayofanana na ukweli. HIvi kwani hii ni mara ya kwanza kwa mtu aliyewahi kuwa waziri kufikishwa mahakamani? HIvi hii ni mara ya kwanza kwa mtu "kigogo" kusimama kizimbani?
Angalieni rekodi za kesi za huko nyuma!
Angalieni rekodi za kesi za huko nyuma!