News Alert: Masha awasalimia Keko..

Field Marshall Es,
Mkuu mimi ktk swala hili nasimama upande mwingine kabisaaaa kwa sababu moja kubwa.. Mashga ni waziri wa mambo ya ndani.. wizara ambayo inashughulika na kesi hizi kwa Upande wa mashtaka, hiyo hapa Urafiki na Ushikaji mkuu hauwezi kabisa kuingilia na kazi yako.Kama amekwenda kuwaona watuhumiwa kikazi hiyo haina taabu kabisa lakini kama amekwenda kiushikaji kama binadamu wengine mkuu haiendi hivyo..kwa sababu kazi yako inasimama mbele ya urafiki kutokana na kiapo cha madaraka uliyokabidhiwa..Who knows kitu gani aliwaahidi kama washikaji wake kutokana na madfaraka aliyokabidhiwa..Marehemu Ditopile alikuwa mshikaji wake wa damu rais wetu Kikwete, hatukusikia hata siku moja Kikwete kenda Magereza kumtembelea rafiki yake akavua Urais, na kuwa kama binadamu wengine..Mkuu, hapa jamaa kachemsha!
 
Sawa sawa mkuu, tupo ukurasa mmoja hapa maana kama sikosei so far hatujui kwa nini alienda au?

FMES, hakuwa na sababu yoyote ya kwenda Keko, kama kulikuwa na tatizo basi mkuu wa gereza la Keko angeweza kabisa kulishughulikia bila Masha kutia mguu wake Keko, vinginevyo kupita kwake huko kuna utata mkubwa.
 
Habari za ndani kabisa ni kuwa Masha hakwenda Keko hizi ni rumors ambazo hazina msingi wowote.

Tuwe waangalifu.
 
Ndugu Masha, najua unasoma hapa. Unakesi ya kujibu kwa umma wa kitanzania. wananchi wanahaki kama mbunge na kiongozi wa umma kwamba kunani ukaenda 'kininja' huko gerezani? Manake aiingii akilini kabisa.

Wadau JF kama wadau wengine waliopita, kwamba huyu Masha anatakiwa aje mbele ya umma na kujibu hizi tuhuma akishindwa, basi tutajua kwamba 'hiyo safari ilikuwa ni safari chafu'
 
Yeah huu ni usanii. Mbona watuhumiwa wengine hawapati coutecy call ya viongozi?Au utuhumiwa unaangalia ni nani na nani?
 
Habari za ndani kabisa ni kuwa Masha hakwenda Keko hizi ni rumors ambazo hazina msingi wowote.

Tuwe waangalifu.


sawa. Ukishapitia vyanzo vyako vilivyokuambia kuwa ni "rumors" itakuwa vizuri uje utuambie kama vina uhakika. Nitakuwa tayari kuisahihisha nikipata info yoyote kinyume na ilivyo sasa. So far, I stand on my original story.
 
Lakini si alienda kama Masha na si Waziri Masha?

Ninavyojua mimi hakwenda kama Masha bali alienda kama waziri sababu kwa taratibu za magereza siku za kazi si siku za kutembelea mahabusu wala wafungwa.Mahabusu na wafungwa huwa wanatembelewa na ndugu na marafiki zao siku za week end tu.

Hivyo kama Masha aliruhusiwa kuwatembelea kwenye gereza siku ya kazi mahabusu Mramba na Yona basi lazima awe alienda kiwaziri ni si kama rafiki au ndugu.Kama ni vinginevyo mkuu wa gereza inabidi abanwe aeleze Masha aliruhusiwa kuingia kuwaona kama nani siku ambayo si rasmi kutembelea mahabusu na wafungwa magerezani.

Na kama alienda kama waziri aeleze hiyo shughuli ya kiwaziri ilikuwa ya kitu gani?
 
Field Marshall Es,
Mkuu mimi ktk swala hili nasimama upande mwingine kabisaaaa kwa sababu moja kubwa.. Mashga ni waziri wa mambo ya ndani.. wizara ambayo inashughulika na kesi hizi kwa Upande wa mashtaka, hiyo hapa Urafiki na Ushikaji mkuu hauwezi kabisa kuingilia na kazi yako.Kama amekwenda kuwaona watuhumiwa kikazi hiyo haina taabu kabisa lakini kama amekwenda kiushikaji kama binadamu wengine mkuu haiendi hivyo..kwa sababu kazi yako inasimama mbele ya urafiki kutokana na kiapo cha madaraka uliyokabidhiwa..Who knows kitu gani aliwaahidi kama washikaji wake kutokana na madfaraka aliyokabidhiwa..Marehemu Ditopile alikuwa mshikaji wake wa damu rais wetu Kikwete, hatukusikia hata siku moja Kikwete kenda Magereza kumtembelea rafiki yake akavua Urais, na kuwa kama binadamu wengine..Mkuu, hapa jamaa kachemsha!

Wizara ya mambo ya ndani ndiyo ina mamlaka ya kuangalia masuala ya magereza zote.Huenda ameenda kuona if all is well... if they are being treated well......if ......... just harzading a guess!
Regardless of any excuse this visit will raise eyebrows!
 
Kweni kuna sheria yoyote ya magereza inazuia mfungwa kuonwa na nduguze katikati ya wiki? Je wafungwa wa UK taratibu zikoje kwani sheria nyingi tumecopy & paste toka UK
 
Ruksa kucheza kila aina ya mchezo wautakao.
Hata ile siku ya kwanza mlipo kaa na makalio yenu makubwa kwenye viti vikubwa kupanga mbinu za kutugeuza watanzania wote ndondocha aumisukule wenu, mlidhani ni siri kuu inayolindwa kwa nguvu zote na nembo ya Baba na Mama.

Kende zenu, narudua kende tena zenu wote kwa mpigo.

Iweje leo kati ya visiki wenye midomo michafu isiyo na adabu kwa watanzania wako kwenye vyumba vya VIP kule jela??
Nani anakula nyasi?

Nijuavyo mimi CCM kama chama cha siasa hakina nguvu ya kujisima muda wote in our life time.CCM tayari kinaonja Alamana Za Nyakati, lakini kwa kuwa ni chama dola kinapuuza Alama hizo kwa kudhani kwamba miguvu ya kijeshi kipolisi na kishushushu zina uwezo wa kutudumisha ununda wao dhidi ya AZN.
Kukalishana kwenye lile Bench tu ni dalili tosha kwamba huko chumbani kwao CCM mambo si shwari hata kidogo.
Naamini kabisa kila asubuhi kuna watu wanakula pushup za nguvu, makofi mazito ya mashavuni na viboko vya matakoni huku wamechojoa kaputula zao. Subra imewaishia, ushetani ulio asili yao sasa unatawala.

Kwa muda mrefu CCM wametii kanuni kuu ya Fisi.

Fisi hata aumwe njaa vipi kamwe hali mzoga wa fisi mwenzie. Pamoja na ufisifisi wake tamaa na hamu ya kumla fisi mwenzie inakula nyongo na kuua hamu ya mlo.
Kuanza kukalishana kwenye lile benchi ni dalili moja kwamba Fisi hawa wameanza kutamaniana kiasi kwamba hawaoni vibaya kugeuzana kitoweo kwa zamu. Katika jamii ya Mifisi yenye uroho wa kihayawani hiyo si dalili nzuri ya kudumisha umoja wao wa kifisi. Kanuni ya kuto mtamani fisi mwenzio kwa nia ya kumgeuza kitoeo ndiyo msingi mkuu wa umoja wa Mafisi wote duniani.
Kukiukwa kwa msingi huu mkuu kutaleta hofu kiwewe na MFADHAIKO utakao watia katika Mode ya kutoaminiana na hivyo kumfanya kila Fisi atumie ukali wa meno yake na urefu wa makucha yake kulinda himaya yake bila kujali gharama itakayo ukabiri umoja wao wa kifisi. Jambo hilo ni lazima lilete mvurugano na kusambaratika.

Bwanamdogo Masha amesahau kwamba wazazi wake waliishi Ughaibuni si kwa kupenda ila ni kwa matokeo ya Uhasama na vita za kiitikadi ndani ya siasa za kale enzi ya TANU.
KamA anachochoto cha kujifunza si katika historia ya Tanzania bali katika historia ya familia yake mwenyewe.
Naamini kabisa historia itajirudia,safari hii itakuwa zamu yake Masha mwenyewe kujitoma ughaibuni.

Hasira! hasira kali za Mkulu! Haki ungewamata wangekutambua. Punguza hasira mkulu, vita hii bado mbichi! Tuendelee kupigana kwa ncha za vidole vyetu hadi mwisho wa dahari, na Mungu awe kinga yetu kwenye vita hii.
 
Mkandara;
Mkuu mimi ktk swala hili nasimama upande mwingine kabisaaaa kwa sababu moja kubwa.. Mashga ni waziri wa mambo ya ndani.. wizara ambayo inashughulika na kesi hizi kwa Upande wa mashtaka, hiyo hapa Urafiki na Ushikaji mkuu hauwezi kabisa kuingilia na kazi yako.Kama amekwenda kuwaona watuhumiwa kikazi hiyo haina taabu kabisa lakini kama amekwenda kiushikaji kama binadamu wengine mkuu haiendi hivyo..kwa sababu kazi yako inasimama mbele ya urafiki kutokana na kiapo cha madaraka uliyokabidhiwa..Who knows kitu gani aliwaahidi kama washikaji wake kutokana na madfaraka aliyokabidhiwa..Marehemu Ditopile alikuwa mshikaji wake wa damu rais wetu Kikwete, hatukusikia hata siku moja Kikwete kenda Magereza kumtembelea rafiki yake akavua Urais, na kuwa kama binadamu wengine..Mkuu, hapa jamaa kachemsha!

Mkuu analysis ya ujazo mkubwa sana hii,... hasa hiyo comparison of a similar situation kwa bosi wa Masha.
 
MAADILI GANI MNAYOYAZUNGUMZIA HAPA? MASHA HATA JUZI ALIKWENDA PALE KISUTU NA ALISALIMIANA NAO PUBLICLY.

UWAZIRI WAKE HAMFUNGI KUONGEA AU KUMTEMBELEA MTUHUMIWA PALE ANAPOSHIKILIWA NA VYOMBO VYA SHERIA.

KAMA NI DHAMANA, NI KWELI HAKIMU MWANKENJA(MTUMISHI WA MUNGU/mlokole) HAKUFANYA MAAMUZI KWA KUZINGATIA SHERIA ZINAZOMUONGOZA NA MBAYA ZAIDI ALIJIKUTA AMESUKUMWA NA UTASHI WAKE KAMA MWANANCHI NA SI MTAFSIRI WA SHERIA.

KIPENGERE ALICHOTUMIA KINARUHUSU NJIA MBADALA KTK DHAMANA LAKINI YEYE AKASISITIZA CASH, LAKINI HATA KTK REASONING YA KIJANA WA KIDATO CHA NNE TU ANGEWEZA KUTAMBUA SHARTI LA KUMZUIA MRAMBA ASITOKE DAR ES SALAAM HALIKUWA LINA MAANA NA SI HAKI KWANI YULE BADO NI MBUNGE HIVYO LICHA KUSHITAKIWA MBELE YAKE BADO ANALO JUKUMU LA KUWATUMIKIA WANA ROMBO NA BUNGE LA TANZANIA.

HATUMLAUMU HAKIMU KWA UPUNGUFU HUU ULIOJITOKEZA ILA NI FUNZO KWA WENGINE KUWA KABLA HUJAFANYA MAAMUZI YOYOTE YANAYOMUHUSU BINADAMU MWENZAKO NI VEMA UKATAFAKARI NA KUJIRIDHISHA KABLA HUJAJITOKEZA HADHARANI NA KUAMUSHA MORI KWA UMMA HALAFU BAADAYE ALIYE JUU YAKO ANATENGUA MAAMUZI YAKO NA KUIFANYA TAASISI KAMA MAHAKAMA IDHARAULIKE HUSUSANI KTK MASHAURI YENYE MASLAHI YA MOJA KWA MOJA NA WANANCHI.

NARUDIA TENA MASHA YUKO SAHIHI KAMA MTANZANIA, KIONGOZI NA MWANASHERIA.
 
Jamaa inasemekana ni mshikaji mkubwa sana wa Yona na hakujua kama jamaa atafikishwa mahakamani ghafla. Kuna uwezekano akatumia influence yake kuwasaidia hata mbele ya sheria
 
Muhimu ni kwamba wazee hawa mafisadi wako rumande. Hata aende JK kwa ving'ora kuwaona hili halisumbui. Kwa sisi walalahoi siku ya kwenda kuwaona wafungwa/mahabusu ni Jumapili tu tena kwa dakika chache tu.
 
Nadhani intelligence yetu imeshindwa kuunganisha habari mbili muhimu sana ambazo kwangu zilikuwa very weird..

Ufalme ukigawanyika hauwezi kusimama!
 
MAADILI GANI MNAYOYAZUNGUMZIA HAPA? MASHA HATA JUZI ALIKWENDA PALE KISUTU NA ALISALIMIANA NAO PUBLICLY.

UWAZIRI WAKE HAMFUNGI KUONGEA AU KUMTEMBELEA MTUHUMIWA PALE ANAPOSHIKILIWA NA VYOMBO VYA SHERIA.

KAMA NI DHAMANA, NI KWELI HAKIMU MWANKENJA(MTUMISHI WA MUNGU/mlokole) HAKUFANYA MAAMUZI KWA KUZINGATIA SHERIA ZINAZOMUONGOZA NA MBAYA ZAIDI ALIJIKUTA AMESUKUMWA NA UTASHI WAKE KAMA MWANANCHI NA SI MTAFSIRI WA SHERIA.

KIPENGERE ALICHOTUMIA KINARUHUSU NJIA MBADALA KTK DHAMANA LAKINI YEYE AKASISITIZA CASH, LAKINI HATA KTK REASONING YA KIJANA WA KIDATO CHA NNE TU ANGEWEZA KUTAMBUA SHARTI LA KUMZUIA MRAMBA ASITOKE DAR ES SALAAM HALIKUWA LINA MAANA NA SI HAKI KWANI YULE BADO NI MBUNGE HIVYO LICHA KUSHITAKIWA MBELE YAKE BADO ANALO JUKUMU LA KUWATUMIKIA WANA ROMBO NA BUNGE LA TANZANIA.

HATUMLAUMU HAKIMU KWA UPUNGUFU HUU ULIOJITOKEZA ILA NI FUNZO KWA WENGINE KUWA KABLA HUJAFANYA MAAMUZI YOYOTE YANAYOMUHUSU BINADAMU MWENZAKO NI VEMA UKATAFAKARI NA KUJIRIDHISHA KABLA HUJAJITOKEZA HADHARANI NA KUAMUSHA MORI KWA UMMA HALAFU BAADAYE ALIYE JUU YAKO ANATENGUA MAAMUZI YAKO NA KUIFANYA TAASISI KAMA MAHAKAMA IDHARAULIKE HUSUSANI KTK MASHAURI YENYE MASLAHI YA MOJA KWA MOJA NA WANANCHI.

NARUDIA TENA MASHA YUKO SAHIHI KAMA MTANZANIA, KIONGOZI NA MWANASHERIA.

Kama Hakim kachemsha...si ndio Upenyo wa Mawakili wa Mramba na Yona?...na ndio maana Mawakili wakate Rufaa...?

Suala la Wazir kuwepo Mahakamani pia si Hoja kwasasa....na Tunachosema kwenda kuwatembelea Keko kwa style alofanya si sahihi...alau angekwenda WAKILI wake..sawa...au Masha anataka kuwa wakili wao?...

Hakuna Mtu anaekataa kuwatembelea Ndugu, Jamaa zake mahabusu. ikiwa hivyo ndivyo sheria ziwe wazi...kuwa anytime unaruhusiwa kutembelea Gereza...
 
Back
Top Bottom