kookolikoo JF-Expert Member Mar 9, 2012 2,751 595 Jun 26, 2012 #1 yamtaka rais wake kutangaza kupitia vyombo vya habari kuheshimu amri iliyotolewa na mahakama hiyo ijumaa iliyopita. CHANZO: TBC 1
yamtaka rais wake kutangaza kupitia vyombo vya habari kuheshimu amri iliyotolewa na mahakama hiyo ijumaa iliyopita. CHANZO: TBC 1
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Jun 27, 2012 #2 Sasa atatangazaje wakati yuko ICU?, hii mahakama hiii ijiangalie.
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Jun 27, 2012 #3 mahakama dhaifu sana hii...ndo shida ya kuchagua ma jaji kwa kuangalie vigezo vya ki social zaidi na mambo yetu yale ya naniliiiii...
mahakama dhaifu sana hii...ndo shida ya kuchagua ma jaji kwa kuangalie vigezo vya ki social zaidi na mambo yetu yale ya naniliiiii...