Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Idd Simba ni mume wa Sofia Simba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ujumbe wa Tume ya Katiba siyo full time job kwa kipindi cha hiyo miezi 18?
Tuongelee kesi kwa utajiri Idd simba nitajiri wa miaka nenda rudi tena ni mrithi wa utajiri wa baba yake, yasemekana hata corporate branch ya nbc pale city centre ilikuwa yao. umatemate wa simba si wa jana wala juzi tuongelee hili la kesi yake.mi nashangaa sana sasa kwa kwel cjui 2nakwenda wap ? Kimsingi huyo bwana mdogo id simba hayo mapesa yote kayatoa wap kwa mda mfup aliofanya kaz hapo na kujidhamin kwa bl.8, hao ndo wez sugu 2nao watafuta, wa2 2mefanya kaz serikalin na kwenye mashrka na makampun binafsi makubwa ha2jawah kushka hata bl.2 ama kwel mcheza kwao hu2nzwa!!
Ni Idd Simba mbele ya Hakimu Mfawidhi Ilvin Mgeta,Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Anasomewa mashtaka ya ufisadi na kusababisha hasara kwa UDA.Mashtaka yakasomwa na Mwendesha Mashtaka wa TAKUKURU,Benny Lincoln.Mawakili wasomi wawili wakajitambulisha kama wanaomtetea Simba.Ni Said El-Maamry(pia Mjumbe wa Tume wa Maoni ya Katiba) na Alex Mgongolwa.
Baada ya kusomwa mashtaka,Mawakili wa Simba wakasimama na kuomba dhamana kwa mteja wao kwakuwa mashtaka ambayo kwayo mteja wao anashtakiwa yanadhaminika.Lincoln hakuonyesha upinzani.
Hakimu Mgeta akamtaka kila mshtakiwa adhaminiwe na wadhamini wawili wenye bondi ya shilingi milioni 500 kila mmoja.Fedha nyingi eeh? Kwako tu.
Mawakili wa Simba wakawasilisha hati ya kiwanja na nyumba ikiwemo yenye thamani ya shilingi bilioni 8.Bondi yake ilikuwa na uwezo wa kudhamini washtakiwa 8 kwa masharti kama ya Hakimu Ilvin Mgeta.Kuonyesha kuwa Simba 'anajali',akaruhusu wenzake wawili pia watumie hati yake kupata dhamana.
Wenzake wakafaidi kuwa na Simba.Simba anakuwa kigogo wa kwanza kutokwenda mahabusu siku ya kwanza ya kupelekwa Mahakamani.Ni kigogo wa kwanza ambaye upelelezi wa kesi yake ulikamilika kabla ya kuletwa Mahakamani.Ni tofauti na wote waliotangulia.
Picha imeanza...
......si wa tasnia ya sheria, lkn uzoefu wa kufatilia mambo umenifunza kuwa hata sheria wakati mwingine (na mara nyingi zaidi ktk nchi zetu za ulimwengu wa tatu) uihalifu haki...laiti tungegeuka kidogo tukatazama kwa wenzetu wa indonesia wanavyoshughulikia ufisadi kwa muondoko wa "mahaka za umma", kisha tukatazama rafiki zetu wa uchina wanavyohukumu wala rushwa, hakika lugha yetu juu ya rushwa ingekuwa jambo lingine...kucheza na rushwa ingekuwa sawa na kushika nyaya za msongo mkubwa wa umemena mikono mitupu!
Tuongelee kesi kwa utajiri Idd simba nitajiri wa miaka nenda rudi tena ni mrithi wa utajiri wa baba yake, yasemekana hata corporate branch ya nbc pale city centre ilikuwa yao. umatemate wa simba si wa jana wala juzi tuongelee hili la kesi yake.
Akili Kumkichwa....hapo ujue kila kitu kilikamilika pamoja na dhamana na uigizaji utakaofanywa mahakamani...Pale walikuwa wakiperfom walichokuwa wamepractice kabla....Tanzania ni zaidi ya uijuavyo...