News alert!!!! Hatimaye mkuu wa chuo cha mkwawa iringa na wasaidizi wang'oka

Walikmbia udsm kumbe walijua huko wataenda kuiba.
Mahakimu hawa miswahurumie hata kidogo
MKAWALAZE kwanza segerea na sio keko
 
tumejiandaa kufanya sherehe kubwa hapa chuoni...oyoooooo, nakuchuki pr. Mushi kama nnavyomchukia EL.
 
Kujipongeza kwa ilo inabidi lipigwe lile songi ....Dada uyoooooooooooooooooooooooo.....
Ila bado nina hamu na Ekelege uyu apelekwe Guantanamo kabisa
 
tumejiandaa kufanya sherehe kubwa hapa chuoni...oyoooooo, nakuchuki pr. Mushi kama nnavyomchukia EL.

Mkuu punguza kumchukia inabidi mumkamate yeye na mrema plus kale kazee ka musoma wanakaita machiwa muwachape viboko kumi na viwili kila mmoja kisha mumnyang'anye machiwa ile gari yake nyeupe aloinunua kwa sh milioni 240, hua anapaki pale opoziti na ofisi ya aux. polisi. Ila kazeni buti kwa amandina hakuna mchezo mtapigishwa kwata mpaka mchoke.

Halafu kuna jamaa mmoja anajiita dr. S. Kita eti ni acting director of undergraduate studies mkwawa? Aisee huyo jamaa anapiga hela balaa. Anyway hayo ndo maoni yangu.
 
Uongozi wa DUCE pia umeondolewa. So yawezekana Kikwete kaamua kuwa serious na wabadhirifu wa mali za umma. Na hope atafanya hivyo hivyo kwa halmashauri zote zilizopatikana na hatia. Lakini cha kujiuliza, ni kwanini hakuanza tangu mwanzo? Anakuja kuanza leo?


Katika hili sio kikwete bali Mukandala. Tarifa za kuaminika zinasema Prof. Mkandala alisitisha mchakato wa uteuzi wa wakuu hawa baada ya kamati ya Zito kubaini madudu. Hivyo kuondolewa kwao na matamshi ya JK ni coincidence tu. Hii inathibitishwa na ukweli kuwa mpaka sasa JK hajachukua hatuo yoyote dhidi ya watendaji na pia Waziri wake anayehusika na elimu hakumbadilisha kitengo achilia mbali kumpiga chini.

Anaye nisikitisha ni Pro. Mrema, niliwahi kufanya kazi na huyu bwana miaka ya nyuma. He was very accountable and ethical
 
Katika hili sio kikwete bali Mukandala. Tarifa za kuaminika zinasema Prof. Mkandala alisitisha mchakato wa uteuzi wa wakuu hawa baada ya kamati ya Zito kubaini madudu. Hivyo kuondolewa kwao na matamshi ya JK ni coincidence tu. Hii inathibitishwa na ukweli kuwa mpaka sasa JK hajachukua hatuo yoyote dhidi ya watendaji na pia Waziri wake anayehusika na elimu hakumbadilisha kitengo achilia mbali kumpiga chini.

Anaye nisikitisha ni Pro. Mrema, niliwahi kufanya kazi na huyu bwana miaka ya nyuma. He was very accountable and ethical

Mkuu heshima yako! Kumbe ushafanya kazi na huyu mzee mrema! Yani huyu mzee mi nlivyoonana nae siku ya kwanza nilijua ni mtu makini na mchapakazi na aliwah kunisimulia habari za rafiki zake wa Norway jinsi walivyomfadhili. Kweli kama nae kafanya madudu inanishangaza. Mara ya mwisho nilimuona viwanja vya muce akifanya mazoezi ya kukimbia.
 
Kama hakuna uwajibishwaji mahakamani, hiyo itakuwa 'filamu' kama filamu tulizowahi kusikia. Kuna uozo wa ajabu, ilifika hatua mitihani ikiahirishwa kwa kuwa chuo hakina wino wa ku-print.
 
Wakifungwa ndipo nitaamini kua kweli wameshugulikiwa. Hawa watu siyo wema kabisa:
1. Prof Mushi
2. Prof Machiwa
3. Prof Mrema
4. Fransis Kiama

maprofesa gan hao jaman,hawa ni wa kutia bakora za kutosha kisha wanyongwe.Kama maprof wanafanya hv tutegemee nn kwa wanaowafundisha?hakuna uzalendo tena,makelele yote ya kusaka mihela tu.
 
Hayo majina mbona yanafanana na wapigaji wa KASKAZINI? Halafu ndo tuwape nchi???!!!!

hao ndio mafisadi wa ukwel,wapen nchi muone,wanakuja na ahadi nzuri chini ya kapeti kuna kingine kilichojificha,hawa watu hawafai kabisa na najua mtaifuta hii post muda siyo mrefu.nawapongeza kwa bidii hiyo,hongeren!
 
cjaona mpumbavu na mbaguz kama wewe. Unafikiria kwa kutumia mk... Wako. Idiot, watu wachache ndo u generalize

wewe la wapi unayelalama kijinga hivyo,kama umechukia kufukuzwa kwa hao baba zako mafisadi jitoe humu jf kisha ujinyonge.Mi niliomba kazi muce lakin fisadi mrema akafanya ujinga anaoujua yeye.Ukabila hadi vyuo vikuu?ndio maana vyuo vikuu vyetu vinapoteza ubora kila kukicha kwa sababu ya kuendekeza ukabila.Mhadhiri utakuta hajiamin,anaogopa wanafunz,ubabaishaji kibao!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom