Baada ya Kutoka Ufaransa na Italy, JK kuelekea China Jumatatu

Sidhani Kama amesinzia anawaza Pipa Jumatatu na Mengi yanayomkabili kwa hivi Sasa.Nafikiri Sasa hivi unauelewa msemo wa mwasisi kwamba huko si kwa kukimbilia.

Nalubaliana nawe mkuu,
mwl Nyerere alisema ikulu ni mzigo,mtu mwenye akili timamu hawezi kupangimbilia.Kikwete amekua na mawazo mengi sana kipindi hiki,ni kweli nafsi inamsuta,unajua hakuna kitu kibaya kama kusutwa na nafsi yako.Je alipokua anakimbilia ikulu na vihela vyake,alidhamilia kumsaidia mlala hoi au mabepari akina Karamangi na wenzake?
 
Nalubaliana nawe mkuu,
mwl Nyerere alisema ikulu ni mzigo,mtu mwenye akili timamu hawezi kupangimbilia.Kikwete amekua na mawazo mengi sana kipindi hiki,ni kweli nafsi inamsuta,unajua hakuna kitu kibaya kama kusutwa na nafsi yako.Je alipokua anakimbilia ikulu na vihela vyake,alidhamilia kumsaidia mlala hoi au mabepari akina Karamangi na wenzake?
Nia yake ilikuwa ni nzuri na bado ninaamini ni nzuri Lakini Hakuzingatia kitu kikubwa kimoja kutaka kuingia huko kwa gharama yoyote na kupelekea kukaribisha kundi kubwa la wawekezaji wa Urais wake wa Saidia Kikwete ashinde(Mtandao) ambao waliwekeza, na kila mmoja anataka marudisho ya mtaji na faida ya uwekezaji wake na Kumfanya mtoa mazingira mazuri ya uwekezaji(Rais) kuwacha kwenye dimbwi la kutaliwa na Fikra ridhisha na kuathiri maamuzi yake Anapokabiliana na wawekezaji hao.
 
Mwacheni Rais wetu aende kuitangaza nchi, haendi kukaa muda mrefu jamani,au mmesahau alichaguliwa kuwa mwenyekiti mwenza kwenye mkutano wa mazingira? sasa angefanya kwa osmosis?

Asante.

There's something wrong with these unending trips, and with yuo too.
 
..china kuna nini? kikao cha people's party au kitu gani?

Nathani hili ndio lingekuwa swali la kwanza kabisa kwenye gumzo hili?

Swali la pili lingekuwa hili:-

Je kwa Tanzania kuhudhuria/kuwakilishwa kuna maslahi yoyote? Na je masilahi hayo ni ya papo kwa papo, au ya muda mrefu?

Swali la tatu lingekuwa hili:-

Je ni nani ni muafaka kutuwakilisha kwenye mkutano huo? Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais, Waziri, Katibu Mkuu, Mtaalamu tu wa Wizara, Mwananchi wa kawaida (e.g FD au Kilitime, etc...)?


Hapa tungekuwa tunachangia vizuri kama watu mliosomeshwa na hela za watu za wananchi,,, sio kubwatuka tu ... pwaaaa pwaaapwaaa pwaapwaaa...
 
Ama kweli kichwa(Tanzania) kimepata mnyoaji(JK).Nadhani anataka kuweka record ya RAIS ALIYESAFIRI SANA NJE na KUTUMIA MUDA MCHACHE KUKAA NCHINI MWAKE.
 
JK can do better by opting to Change maisha yake ya Urais na kuwajali Watanzania badala ya washikaji . Maisha bora ya kila Mtanzania ni ndoto na cha moto wanakiona watanzania . JK anangoja Govt collection na hazina ikiwa na few forex yeye anaenda kuzitumbua .
 
PRESIDENT OF TANZANIA H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE NAMED HONORARY GLOBAL CHAIR OF 2ND WORLD TOURISM MARKETING SUMMIT Beijing, China, October 28-30, 2007
The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, was named Honorary Global Chair of the 2nd World Tourism Marketing Summit(WTMS), which will take place in Beijing, China, October 28-30, 2007. The announcement was made by Sujit Chowdhury, Secretary General, of the Canada-based World Trade University(WTU), organizer of the Summit.

Mr. Chowdhury, in making the announcement, said “H.E. Kikwete will bring to the Summit the dynamic and outstanding leadership that he has already demonstrated in Tanzania with his ability to attract major international investment. This is reflected in that Country’s dramatic growth and development path, especially in the booming tourism sector. We are looking forward to President Kikwete inspiring delegates to use this converging platform to create new joint venture opportunities.”



SOURCE:http://www.forimmediaterelease.net/pm/452.html

Kwa hili jamani msinung'unike, mwacheni JK aende China, au mnasemaje wadau? Maana hapa kuna watu hawataki JK aende popote nje ya Tz! Au mtasema kwa kuwa ni masuala ya biashara amtume Basil Mramba, na hiyo utalii amtume Jumanne Maghembe? Lakini wao hawakuchaguliwa uenyekiti wa hiyo Summit, au siyo jamani? Hii ni nafasi nzuri inayosema mazuri juu ya nchi yetu, na amepewa JK kutokana na mazuri hayo. Aende akaifanyie nchi yetu kazi.
 
Kwa hili jamani msinung'unike, mwacheni JK aende China, au mnasemaje wadau? Maana hapa kuna watu hawataki JK aende popote nje ya Tz! Au mtasema kwa kuwa ni masuala ya biashara amtume Basil Mramba, na hiyo utalii amtume Jumanne Maghembe? Lakini wao hawakuchaguliwa uenyekiti wa hiyo Summit, au siyo jamani? Hii ni nafasi nzuri inayosema mazuri juu ya nchi yetu, na amepewa JK kutokana na mazuri hayo. Aende akaifanyie nchi yetu kazi.

Kuna mtu alishauri kuwa Kikwete apewe uraisi wa dunia maana naona anapenda na "kupendwa" na raia wa nchi zingine kuliko anavyowajali watanzania na maisha yao yanayozidi kuwa magumu kila siku.

Miaka miwili tu, mifumuko ya bei ya kutisha kwenye sukari, mafuta, usafiri, vyakula, na sasa hata ujenzi imekuwa kasheshe.
Wakati haya yote yakiendelea vasco da gama (Kikwete) anachoma mabilioni kusafiri nje ili kuwa mwenyekiti wa summit?

Kithuku, hivi mtanzania wa kijiji cha sabasaba ambaye anashindwa kununua chakula na bidhaa muhimu anafaidika nini na uenyekiti wa hiyo summit?

Ama kweli mtandao na mafisadi wametupatia watanzania bomu la karne!
 
Heri heri heri,inaonekana mna matatizo ya ajabu,kama huyu Raisi angekuwa ametulia Ikulu tu basi mngelikuja na ngonjera nyengine ,lakini Raisi ameamua kuwa mchapa kazi,tena kazi aliyokuwa nayo ni kuitafutia Tanzania mshiko pamoja na watanzania wenyewe,raisi anaposafiri na huko anakofika akapendeza basi hata raia wa Tanzania wanakuwa wanatembea kifua mbele na kujiona na kupata jeuri japo kidogo,Mheshimiwa Kikwete amekusudia kufanya kweli,tembea tembea yake si bure kuna mipango anaisuka na siku atakapotulia Ikulu ni kufuatilia yale aliyoyapata na kuahidiwa na hapo ndipo vitendo vyake vitakapoonekana,ijapokuwa kuna matatizo ndani ya nchi lakini hilo sio jambo la kumvunja moyo,wanajeshi wanapokuwa vitani kuna wakati wanapambana ana kwa ana na kuna wakati wanasitukiziwa(ambushed) kuna wakati wanategwa,hivyo kuna kuwa na matatizo makubwa tu ya kukatisha tamaa na Mjeshi hodari ni yule anaesonga mbele kutafuta ushindi,Muungwana anasonga mbele kutafuta ushindi.
 
Heri heri heri,inaonekana mna matatizo ya ajabu,kama huyu Raisi angekuwa ametulia Ikulu tu basi mngelikuja na ngonjera nyengine ,lakini Raisi ameamua kuwa mchapa kazi,tena kazi aliyokuwa nayo ni kuitafutia Tanzania mshiko pamoja na watanzania wenyewe,raisi anaposafiri na huko anakofika akapendeza basi hata raia wa Tanzania wanakuwa wanatembea kifua mbele na kujiona na kupata jeuri japo kidogo,Mheshimiwa Kikwete amekusudia kufanya kweli,tembea tembea yake si bure kuna mipango anaisuka na siku atakapotulia Ikulu ni kufuatilia yale aliyoyapata na kuahidiwa na hapo ndipo vitendo vyake vitakapoonekana,ijapokuwa kuna matatizo ndani ya nchi lakini hilo sio jambo la kumvunja moyo,wanajeshi wanapokuwa vitani kuna wakati wanapambana ana kwa ana na kuna wakati wanasitukiziwa(ambushed) kuna wakati wanategwa,hivyo kuna kuwa na matatizo makubwa tu ya kukatisha tamaa na Mjeshi hodari ni yule anaesonga mbele kutafuta ushindi,Muungwana anasonga mbele kutafuta ushindi.

Mmmhh!! bwana/bibi Mwiba karibu sana JF kwa watu ambao wana hate SPIN labda kuliko jumuia nyingine yoyote ya Watanzania.
 
Heri heri heri,inaonekana mna matatizo ya ajabu,kama huyu Raisi angekuwa ametulia Ikulu tu basi mngelikuja na ngonjera nyengine ,lakini Raisi ameamua kuwa mchapa kazi,tena kazi aliyokuwa nayo ni kuitafutia Tanzania mshiko

Naona mtu anaanza kusifia umatonya hapa! heri kwelikweli

pamoja na watanzania wenyewe,raisi anaposafiri na huko anakofika akapendeza basi hata raia wa Tanzania wanakuwa wanatembea kifua mbele na kujiona na kupata jeuri japo kidogo,

kwi kwi kwi kwi,

nimecheka kweli kwenye hii kuwa rais anatembea nje apendeze kisha watanzania watembee kifua mbele. Kwa taaarifa yako rais wa nchi anaaibisha hata watanzania imebidi tufiche ile intavyuu yake aliyosema kuwa hajui kwa nini nchi ni masikini.

Mheshimiwa Kikwete amekusudia kufanya kweli,tembea tembea yake si bure kuna mipango anaisuka na siku atakapotulia Ikulu ni kufuatilia yale aliyoyapata na kuahidiwa na hapo ndipo vitendo vyake vitakapoonekana,ijapokuwa kuna matatizo ndani ya nchi lakini hilo sio jambo la kumvunja moyo,wanajeshi wanapokuwa vitani kuna wakati wanapambana ana kwa ana na kuna wakati wanasitukiziwa(ambushed) kuna wakati wanategwa,hivyo kuna kuwa na matatizo makubwa tu ya kukatisha tamaa na Mjeshi hodari ni yule anaesonga mbele kutafuta ushindi,Muungwana anasonga mbele kutafuta ushindi.

Kikwete anatafuta nchi ya kukimbilia, nani anaweza kukaa nchini wakati kuna mfumuko wa bei ya vitu muhimu kwa zaidi ya asilimia mia mbili? simulaumu kabisa vasco da gama (Kikwete)

Kikwete mwaya, kula nchi na tembea dunia nzima na wala usijali vitoto vidogo vinavyokufa kila siku mahospitalini wakati wewe ukiuza rasilimali zote za nchi kwa mikataba mibovu!
 
In short ni kwamaba JK uelewa wake ni mdogo kuliko majukumu aliyoyabeba. Na kikubwa ambacho nna wasiwasi nacho sana JK huwa hasomi vitabu kabisa na sidhani hata kama ana library. Pili uzoefu wa taaluma yake (Uchumi) hana hata kidogo - huyo ni siasa paseee ndio fani yake. Nji hii haitasogea hata hatua moja kwa viongozi wa aina hii
 
haya maneno ya mwiba yanafananana na maneno aliyoniambia waziri mmoja wa kikwete nilimpobana mbona toka mmeningia hamjafanya kitu..,au ndio wewe mkuu umeingia humu?
 
Heri heri heri,inaonekana mna matatizo ya ajabu,kama huyu Raisi angekuwa ametulia Ikulu tu basi mngelikuja na ngonjera nyengine ,lakini Raisi ameamua kuwa mchapa kazi,tena kazi aliyokuwa nayo ni kuitafutia Tanzania mshiko pamoja na watanzania wenyewe,raisi anaposafiri na huko anakofika akapendeza basi hata raia wa Tanzania wanakuwa wanatembea kifua mbele na kujiona na kupata jeuri japo kidogo,Mheshimiwa Kikwete amekusudia kufanya kweli,tembea tembea yake si bure kuna mipango anaisuka na siku atakapotulia Ikulu ni kufuatilia yale aliyoyapata na kuahidiwa na hapo ndipo vitendo vyake vitakapoonekana,ijapokuwa kuna matatizo ndani ya nchi lakini hilo sio jambo la kumvunja moyo,wanajeshi wanapokuwa vitani kuna wakati wanapambana ana kwa ana na kuna wakati wanasitukiziwa(ambushed) kuna wakati wanategwa,hivyo kuna kuwa na matatizo makubwa tu ya kukatisha tamaa na Mjeshi hodari ni yule anaesonga mbele kutafuta ushindi,Muungwana anasonga mbele kutafuta ushindi.

..mkuu,taratibu usiwe a laughing stock!

..unajua,unasema mambo ka uko kijiweni vile!ujue watanzania[hasa wa humu] si wajinga!

..kwahiyo anatutafutia mshiko sio? u know what? u can do better than that!

..acha porojo mkuu! tangaza ya maana aliyoyafanya katika ziara ambayo yapo! na si hizi .....!
 
swali: kama hujui kwa nini nchi ni maskini huko nje
kunaenda ombwa nini? au ndo kupokea chochote ikitegemewa
kwamba yaweza kuwa bahati kati ya hivyo vitakavyotolewa
kimoja chaweza kuwa tiba ya umaskini wa nchi?
 
Back
Top Bottom