WembeMkali
JF-Expert Member
- Jun 16, 2007
- 282
- 3
Ipo siku mtasikia anaenda Sayari ya Mars kuitangaza nchi...
Ipo siku mtasikia anaenda Sayari ya Mars kuitangaza nchi...
Kikwete kula maisha mwaya,
Hivyo vitoto vinavyokufa hospitalini bila madawa maisha yao hayana thamani sana kama suti mbili ulizonunua NY kwenye safari yako ya juzi.
Nani alisema ikulu si pa kukimbilia? Nyerere (RIP) alishakufa so wewe kula nchi mwaya!
kuna rumors kuwa jk ameshakaa ofisini kwake ikulu less than 100 days total in all of 2 yrs as presido.
Ipo siku mtasikia anaenda Sayari ya Mars kuitangaza nchi...
Yaani nafasi zote apewe yeye.
Mzee wetu shein kazi yake kufungua bucha za nyama kila siku!
ha ha hahaaaaa yaani hapo ndugu yangu umeniua mbavu kupita maelezo...ila kwa vile ana uhakika wa kupata fungu kutoka kwa wafuja jasho wa Tanzania walio too loyal to their serikali...basi he might introduce this idea..kama aliweza bring idea ya kuileta real madrid bongo kwa gharama zetu ashindwe hilo??
mkomboziufisadi
Senior Member
Habari Kamili
-----------------------------------------------------------------
PRESIDENT OF TANZANIA H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE NAMED HONORARY GLOBAL CHAIR OF 2ND WORLD TOURISM MARKETING SUMMIT Beijing, China, October 28-30, 2007
The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, was named Honorary Global Chair of the 2nd World Tourism Marketing Summit(WTMS), which will take place in Beijing, China, October 28-30, 2007. The announcement was made by Sujit Chowdhury, Secretary General, of the Canada-based World Trade University(WTU), organizer of the Summit. The Summit, hosted by the Beijing Tourism Administration of the Peoples Republic of China, will bring together more than 400 travel and tourism industry leaders from around the globe.
My selection as Honorary Global Chair, as an African leader, reflects the strong and growing trade and economic ties between Africa and China, and the vast untapped potential that China represents. Travel and Tourism is the Worlds largest Industry and is critical to sustainable economic development and the generation of productive employment. For this reason, the Summit is very timely, stated H.E. President Kikwete.
Mr. Chowdhury, in making the announcement, said H.E. Kikwete will bring to the Summit the dynamic and outstanding leadership that he has already demonstrated in Tanzania with his ability to attract major international investment. This is reflected in that Countrys dramatic growth and development path, especially in the booming tourism sector. We are looking forward to President Kikwete inspiring delegates to use this converging platform to create new joint venture opportunities.
La mwisho ambalo naweza kumtetea ni uamuzi wake wa kuishi CHURCHILL HOTEL LONDON badala ya ile mijihoteli aliyokluwa akifikia Rais wetu mpenda mambo ya kizungu kwa jina la BENJAMIN WILLIAM MKAPA
Kwa hili hata mimi ninampa heko, maana hata kule US, mkuu wa zamani alikuwa akiishi Waldorf-Astoria, dola $ 5,000 kwa siku, Yes presidential suite,
Lakini Muuungwana, kayakataa hayo na kufikia Hyatt, bei poa $ 800 tu kwa siku!
Jamani utani mbaya, JK amechoka hata na yeye na hizi safari, si mmemuona kwenye msiba.
Niemona alikuwa ameuchapa usingizi, alafu looks like ana mawazo sana.