MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
- Thread starter
- #21
Una maana gani? Soma kwanza hiyo link yenye artcle ya Babu sio kukurupuka tu kuhusu Mnajimu Yahya Hussein na sio Sheikh Yahya koma kutumia jina la Sheikh hujui maana yake Kama yeye kachakachua Jina na hadhi ya Sheikh wewe usije kumlingania na Babu yako wa samunge tunachafuliwa na vyombo vyote vya habari vikubwa Dunia ABC News BBC na NYTimes bado kuna kuna watu wanaona sifa Babu kaandikwa na Mnajimu hajawahi kuandikwa Kaa ukijuwa anachofanya Mnajimu Yahya huku Canada jimo la Quebec pekee yake wapo zaidi ya ishirini na Maarufu kuliko wa huko bongo ni elimu tu ya Astrology si laZima uwe Muslim ni ajabu kumuona yahya hussein akihusishwa na hadhi na utaratibu wa kislam japo ni muislam lakini kutoka katika mafuzo ya vitabu vitakatifu hana sifa ya kuwa Muislam anaeshiriki vitedo vya unajimu uislam unakataza Shirki kama hizo Soma habari za mnajimu maarufu Nostradamus kwanini ma Bishop wengi walikuwa wakimtumia siku hizo 16th centurys je alikuwa na yeye ni Sheikh?
Kwa taarifa yako, Shehe Yahaya Whosain si chochote, yeye na dini yake ya marehemu wenu mwamadi. Huna jipya zaidi ya kuonyesha jazba na povu. Shehe wako hawezi kuwekwa kwenye New York Times kwa kutumia akili ya uislam. Ramli yenu si mali kitu.