mh! mkwe hii lazma itakua ni 'ROHO MTAKAVITU',machale yananicheza!
mmmmhhhh sala,jf? na jukwaa la kikubwa hapo hapo altare?
Unamjua lakini Husninyo? mzushi yule,hajasali lolote,yuko kwnye supu Leaders club.
mea culpa mea culpa nimekosa mimi nimekosa mimi....... natubu!
Heheheee! Asavali umekuja Bishanga alisema eti kawanunia. Anzisha basi nawe thread ya upako watu tubarikiwe!
Unamjua lakini Husninyo? mzushi yule,hajasali lolote,yuko kwnye supu Leaders club.
Lizzy,MJ1,Ashadii,Husniyo,Aspirin,Pdiddy,Woman of substance,AD,SL,BB,Dena ,Nyamayao,King'asti,DC na vingunge wengine wa mmu embu rusheni nyuzi mpya hapa mmu,acheni uvivu bana!!!!!.
ps: niko standby kwenye keyboard nasubiri ku post comments zangu.
Kumbe hata Mpwapwa ipo..!
umeona alivyonisingizia ee!
Waungwana samahani mnapotumia ufupisho huu "MMU" mnamaanisha kitu gani?
Naomba kuelimishwa.
Kizazi cha dot com.......... kitukuu changu hicho... kilast born Cha Afrodenzi alichojifungua akiwa na miaka 14.wee Asprin, hiyo avatar yako kiboko, huyo mtoto kawekaje hiyo laptop?
Kizazi cha dot com.......... kitukuu changu hicho... kilast born Cha Afrodenzi alichojifungua akiwa na miaka 14.
Kama AfroD ni kijukuu changu, mwanae ntamwitaje? Au hujui umri wa Afro kwa sasa?Nadhani watu wengi huwa wanakosea kiswahili.
Mpangilio uko hivi:
1. Babu/Bibi
2. Baba/Mama
3. Mwana
4. Mjukuu
5. Kijukuu
6. Kitukuu
7. Kilembwe
8. Kining'ina
Mkuu kwa mpangilio huo hapo juu, sidhani kama mtoto (kabla ya umri) wa Ad atakuwa kitukuu chako.