Mkuu Nyambala,
Katika members ambao nimegundua wamekuwa makini na kilichoandikwa humu mmojawapo ni wewe. Umechukua muda kupitia ili kutenda haki kwa pande zote.
Niliposoma hiyo sehemu mwenyewe nilicheka sana... That made my w/end off course!
Kuhusu Serukamba sijamwelewa kabisa mpaka mwisho wa doc hii.
I see, haya mambo magumu kueleza... Nimefurahi kuwa ulipata muda wa ku-google na kupata data za "Lamai International", ni wachache wanaopoteza muda kufuatilia kila kitu.
Once done, come back with more comments mkuu wangu.
Tupo ukurasa mmoja mkuu wangu.
Mkuu Companero, nadhani angalia possibility ya kuirekebisha PDF reader yako... Doc iko OK kabisa
Huyu Serukamba, ameamua kuwa kucheza Devil's Advocate kwa sababu anazozijua yeye.