Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Wakuu mliopo Brela.
Who are Directors wa Dowans?
FP... mbona tumesema mwali atafunuliwa kaka... hii ni mwanzo tu.. tulipopinga tulikuwa na sababu! Kununua Majenereta "ya" dowans hakuhusiani kabisa na tatizo la nishati. Hapa ndipo Zitto alipopotea...
Issue kwangu mimi na wengine ni Dowans the company.... nawaambia wenzenu washaandaa kwa kuhamia kabisa... nyie subirini.. it is huge.. will send shockwaves.... and it is beautiful to. Wengine kwenye hili we are putting everything on the line; mfano wa Goliathi na Daudi wala hauelezei kilichoko mbele yetu!!
Vinzi vimetawanyika hadi Canadian Royal Bank!!!!! (why..???) well.. msubirini mwali!!