FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Nijuavyo kama una deni na umeweka assets zako kama collateral security, huwezi kuziuza mpaka mkubaliane na hizo bank au aliyekukopesha.
Inaonekana huko bank kuna aliyepewa 10% maana asset za thamani ya 90 billion inakuwaje colatteral security ya 100m USD?. Halafu walikuwa wanatumia assets zile zile kupata mikopo kwenye bank tofauti!
Yaani the whole operation was run by debt!. Nisawa na JF tukipewa tenda ile maana tunakopa na kununua mitambo. Biashara ipo na mlaji yupo(Tanesco).
Bonge la deal!
I like it!
Inaonekana huko bank kuna aliyepewa 10% maana asset za thamani ya 90 billion inakuwaje colatteral security ya 100m USD?. Halafu walikuwa wanatumia assets zile zile kupata mikopo kwenye bank tofauti!
Yaani the whole operation was run by debt!. Nisawa na JF tukipewa tenda ile maana tunakopa na kununua mitambo. Biashara ipo na mlaji yupo(Tanesco).
Bonge la deal!
I like it!