sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hapa magamba wameufyata
Wameshikwa pabaya ndio mana!
Hapa magamba wameufyata
wakiona kanisa mikono inawawasha wanatafuta kiberiti kiko wapi
Yakhe! Naweza pata ya kijani?
Du!!! hapa CCM ndio watajua CDM ni Chama la Vijana mpo sharp sana
hahahahahaaaa!!!........yess bibie..! Ila iwe silly session ..sio season!
Kuweni wabunifu zaidi andika DHAIFUST.
Sitaki kuamini kama JF inafika huku tunapotaka kuipeleka. Na ninastaajabu kwa post kama hii kusurvive.
Mkuu acha kauli za kuchonganisha watu.
HATA MIMI NASHANGAA SANA. KWA MTINDO HUU NASEMA WAZI jf IHESHIMUNI
SERIKALI NA MUIONDOE THREAD HII.
Kumwita rais dhaifu ni kutudhalilisha sisi tunao ongozwa naye. Sioni kwa nini Mnyika asichukuliwe
hatua kali. Kwani rais ni wa waTZ kama yeye anaona hafai asubiri wakati wa kampeni.
Sisi tunamwona anafaa. JF plze this thread is a disguise to US ALL. Remove it. We love U
Kuweni wabunifu zaidi andika DHAIFUST.