ungetuambia kwenye hoja mchanganyiko kule tungekusoma tu!Hapa watu tunakuja kucheka na kutaniana sawa!Karibu
karibu kwa mara nyingine!Ningejuaje ndugu yangu i already said me mgeni baana!
karibu mgeni.Pita uwani upakuliwe pilau ule maana sie co wachoyo kama wazaramo
karibu mgeni, angalia usije ukapakuliwa na wapakuaji wa humu
Nimekusoma mkuu, kama vp nitakaza coz nina uzoefu wa kutosha kama Mombasa nilipakua itakuwa hapa jf?
Punga!!
bofloooo
kama makwenzi yangewezekana kutumwa kwa bluetooth ningetengeneza kama ishirini mazito kama mizinga halafu ningeyatuma magogoni yakamtoe mtu manundu sababu ananiudhi sana.