Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pombe sio haramu, haramu ni wewe unayeitumia vibaya. pombe ni dawa ya maumivu, ndio maana ukiinywa wakati umefiwa usahau kwa muda au ulia sana baada ya hapo kimya. Nakutetea wewe mzee pombe uliyenifanya niwe na marafiki wengi, natetea unavyoleta usawa ukisha nywewa, waweza kumwambia ukweli unayengwaya hata kama ni bansa. asante sana Mr. Magufuli kwa kunifanya nipendeze. Amina.
Mbona RC mapadri wanakunywa laga bana,na mbona pia makanisa yote wanakunywa mvinyo,tatizo liwapi msiwe kama chama cha mpira Zanzibar ambao wamekataa kudhaminiwa na makampuni ya nayotengeneza pombe ilihali wazanzibari wanafakamia biere na mikonyagi kama wamezaliwa Mchikichini.Pombe sio haramu
pombe sio haramu, haramu ni wewe unayeitumia vibaya. pombe ni dawa ya maumivu, ndio maana ukiinywa wakati umefiwa usahau kwa muda au ulia sana baada ya hapo kimya. Nakutetea wewe mzee pombe uliyenifanya niwe na marafiki wengi, natetea unavyoleta usawa ukisha nywewa, waweza kumwambia ukweli unayengwaya hata kama ni bansa. asante sana Mr. Magufuli kwa kunifanya nipendeze. Amina.
Tatizo ni kuuza bia wakati yeye anahubiri kanisani kwake kuwa pombe ni haramu. Maana yake nini?
Tatizo ni kuuza bia wakati yeye anahubiri kanisani kwake kuwa pombe ni haramu. Maana yake nini?
Tatizo ni kuuza bia wakati yeye anahubiri kanisani kwake kuwa pombe ni haramu. Maana yake nini?
siyo mbaya kuitwa Mchungaji Kiongozi Mwanasiasa Mheshimiwa Mbunge Mfanyabiashara Mama Getrude Rwakatalewaumini wa mikocheni B assy of GOD mnajua k new palm tree resort ni Mchungaji G rwakatale? iko pale bagamoyo. au anatekeleza ile kauli ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu?