Opticf Member Oct 4, 2012 62 4 Oct 10, 2012 #1 Inakuwaje namba inakubeep halaf ukipiga unaambiwa namba hyo haipo ichunguze kwa makini na upige tena
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Oct 11, 2012 #4 Waweza kuiwekea daiveshin hiyo number kwa namba ya kubun lazima iseme hivyo. Near by Meta high school Mbeya.
Waweza kuiwekea daiveshin hiyo number kwa namba ya kubun lazima iseme hivyo. Near by Meta high school Mbeya.
mtamanyali JF-Expert Member Dec 6, 2011 1,161 613 Oct 14, 2012 #5 THK DJAYZZ said: Waweza kuiwekea daiveshin hiyo number kwa namba ya kubun lazima iseme hivyo. Near by Meta high school Mbeya. Click to expand... jamani ndipo nilipopata elimu yangu advance. Msalimie sana mageta
THK DJAYZZ said: Waweza kuiwekea daiveshin hiyo number kwa namba ya kubun lazima iseme hivyo. Near by Meta high school Mbeya. Click to expand... jamani ndipo nilipopata elimu yangu advance. Msalimie sana mageta