Hello great thinkers,i am a new member in the forum and would like to be part of the thoughtful minds in the society....i appreciate your contributions.
Karibu sana JF jamvini, na hapa ni jamvi la kuwatetea CHADEMA na kuitukana SERIKALI, karibu sana !
mshaaanza kujipendekeza....................Welcome Crystal. You have such a beautiful name.
Hello great thinkers,i am a new member in the forum and would like to be part of the thoughtful minds in the society....i appreciate your contributions.
Crstal wewe ni he au she?
Nauliza ili just kupata picha ya mtu tutakeyekuwa nae kwenye hii jumuiya kubwa ya JF na si kwa ubaya.
Otherwise nimekupa senksi kwa kujiunga JF, Karibu sana!
Heee heee heeeeee! Mkuu malizia basi... Tetea halafu utukane ili aone reality ya uliyoyasema!!Karibu sana JF jamvini, na hapa ni jamvi la kuwatetea CHADEMA na kuitukana SERIKALI, karibu sana !
Si kweli bwana.....we una nia ya kufukuza wageni!!Karibu sana JF jamvini, na hapa ni jamvi la kuwatetea CHADEMA na kuitukana SERIKALI, karibu sana !