karibu sana!
Hi Please welcome me.
JamiiForums inanikosha sana.
Yours Chennai.
Akwaaba Chennai
New lady here
So.....?
Fidel80 asante na idumu hii forum.
Kyachakiche asante na nitokako ni jambo.
Limbani asante nawe.
Bao3 asante kaka.
Kibongoto kweli wanajamii ni wakarimu nawe asante.
Nyani Ngabu asante na kweli jamiiforums inanikosha kuona upeo wa watu kwenye mambo kadhaa na kupata habari motomoto na kuliwaza.
Caroline Danzi nashukuru(nimeshindwa kukujibu kighana japo najua tu Akwaaba).kilugha chetu tunasema wakondya. Ambe
Kaizer asante itakuwa ni kati ya miji hiyo ila ni ghana.
Balantanda asante nawe.
Soseji between your legs. Thank you