Mpira Kwanza na Siyo Kilimo Kwanza:
Footbal first and not 'Kilimo Kwanza'. Watanzania twapenda dhama hizi za 'kauli mbiu' . je wafikiri baada ya hii kauli mbiu (Impliedly it sound to be the case) , Kauli mbiu hipi itafuatia? Karibuni kina Dunga, Kaka, Robinho et al . Twaomba mtuchangia japo kidogo kwenye bajeti yetu manake 'tumefulia saaaana!' na kukopa huko benki kwa riba ya asilimia 18-25 itafanya tuwe muflisi. Tunaahidi hatutasafiri safari bila kibali chenu!
Footbal first and not 'Kilimo Kwanza'. Watanzania twapenda dhama hizi za 'kauli mbiu' . je wafikiri baada ya hii kauli mbiu (Impliedly it sound to be the case) , Kauli mbiu hipi itafuatia? Karibuni kina Dunga, Kaka, Robinho et al . Twaomba mtuchangia japo kidogo kwenye bajeti yetu manake 'tumefulia saaaana!' na kukopa huko benki kwa riba ya asilimia 18-25 itafanya tuwe muflisi. Tunaahidi hatutasafiri safari bila kibali chenu!