afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Afro ana kasi ya ajabu! congrats mama! keep it up!:A S crown-1:
mmmmhhhh asante sana mkuu ..
lakini mi naona huu ndo una speed ya light ... hahah lol
Afro ana kasi ya ajabu! congrats mama! keep it up!:A S crown-1:
Shukurani sana! Nilishawahi kuambiwa kwamba maneno huumba. Kwa hiyo I am taking the underlined sentence with a bold note.
:A S crown-1: and nakuvisha umalikia wa posts nzuri.
Thanks for the big hug! :whoo:
Makosa matatu:
1. Babu hawezi kusoma bila mawani - bia tatu
2. Babu hana nyuma - bia saba
3. Samahani bila kutubu - mimba.
Madude umeyahifadhi salama? Hii baridi ni hatari asee.
mihogo niandae wapi ndugu yangu,
hapa nimechanganyikiwa coz tokea shemeji yako akusindikize juzi hajarudi home hadi leo,
na ww nikikupigia simu yako inasema niache ujumbe.
vipi yuko wapi?kama unajua alipo mwambie anitumie tu pesa ya chakula hayo mengine atajijua mwenyewe!
Sorry babu ngoja nikaedit sikuona! ila na wewe uedit maana usha kopy hiyo!Hapo vipi mkuu? Hope siyo offensive!
Ukishapajua then?
Maty, Maty, Maty......Mhhhhhhhhhhhhhhhh
Hujambo mjukuu wangu?
Nipo babu nasikia wivu umepata chombo kipya lol ila kama alivyosema cheusi we nitumie hela ya kula tu hayo mengine endelea kujipa raha
hahhahahah lol umenichekesha..
hamna strategy yeyote ...
navutiwaga tu na mambo mengi humu ndani kwa kweli ni Thread zenu ndo zilizo nifanye hivyo..
actually i should thank you... take care