St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Hivi na mimi uliacha nimeshajoin au ndio unaniona mara ya kwanza?Kama ni mara ya kwanza basi mie ndio Paka Mweusi mama,na kila ninayemjaribu humu ndani ananitoa mbio sasa sijui wewe itakuwaje?