Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
Napenda kuuliza hivi Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka ameshasitaafu/kuacha kazi za Shirika la Makazi? maana nijuavyo kama atapewa uwaziri ni vigumu sana kuendelea na kazi ile kwani atakuwa na majukumu mengi sana ya hapa na pale.:israel:
Kesha staafu na ndiyo maana akagombea ubunge.