Tanganyika one
Member
- Oct 2, 2012
- 18
- 8
kwa wafanya biashara wadogo wadogo , wanao husika na vyakula mbali mbali ,na kwa matumizi ya nyumbani, tuna watangazia BITES au vitafunwa vipya jijini DAR ES SALAAM , asili yake ni nchi ya france,hutumika muda wowote ule uhitajipo, unaweza kuagiza kiasi chochote uhitajicho na kuletewa pale ulipo zina uwezo wa kukaaa siku 45 bila kuharibika .wasiliana nao kupitia number +255 658 030 604.