Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Kweli Mkuu,
Kabakabana hajatangaza zabuni. na huu ni ufisadi wa hali ya juu
Kabakabana hajatangaza zabuni. na huu ni ufisadi wa hali ya juu
Si umeona Mkuu eeh?
Ameshakiuka taratibu za Manunuzi ya Umma!
Tangaza tenda ili wajitokeze watu wenye uwezo tofautitofauti!
Isije ikawa ni wale wa kuingia NAKIETE CHEMISTS!