Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Nimeanza kuukubali msemo huu.Baada ya kung'atwa na nyoka kila nilipoona nyasi sikuweza kuacha kutapatapa!
Nililia na mapenzi mie mpaka nikahisi na gundu, nikaapa sitaki tena mapenzi.Trust me or not i realy meant it!
Out from the blue,ametokea jamaa amedeclare mapenzi mazito kwangu mpaka hata sijui nifanye nini.Kidogo kidogo ameanza kuwin moyo wangu.
Nachowaomba wanajf wenzangu mnitakie kheri kwenye hili penzi langu jipya na mnipe namna za kulifanya lilast forever.
Nililia na mapenzi mie mpaka nikahisi na gundu, nikaapa sitaki tena mapenzi.Trust me or not i realy meant it!
Out from the blue,ametokea jamaa amedeclare mapenzi mazito kwangu mpaka hata sijui nifanye nini.Kidogo kidogo ameanza kuwin moyo wangu.
Nachowaomba wanajf wenzangu mnitakie kheri kwenye hili penzi langu jipya na mnipe namna za kulifanya lilast forever.