truddy
Senior Member
- Nov 7, 2010
- 146
- 100
mi naijiuliza hivi kwanin ukijisemea mabaya ndio yanayotimia lakin mazuri kutimia ni ngumu, cijui ni mimi tu au na wengine?
I guess mabaya tunaya notice haraka zaidi sababu ya negative minds muda wote.
mi naijiuliza hivi kwanin ukijisemea mabaya ndio yanayotimia lakin mazuri kutimia ni ngumu, cijui ni mimi tu au na wengine?
mamaaaà unakata soseji? kisha unaifanyia nini?Hapana me nitakata mtarimbo wake kwanza, mengine baadae
Si rahisi hivyo... kuna wakati unaweza waza umkatekate mtu na panga roho iridhike
Ila hata 1% ya population ni kubwa pia.Mkuu..
Hizi kauli 99% ni za jisia ya kike..
Na hazitekelezekii..