Never say never

Ni vigumu sana kutosema. Roho ikiumizwa chochote waweza sema. Kuna viumbe wana dhambi sana wepesi kuumiza roho za wenzao. Ni Mungu tu anaepusha lakini kusamehe ni vigumu sana.
 
Uliyosema yote ni sahihi 100% ila kwa uwezo wa kibinaadam hazitekelezeki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom