Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hello All
Nihitaji kupatata ufahaku kuwa kati ya masomo hapo juu ni lipi kati ya hayo yanalipa na maana hata mshahara wake unakuwa mziri plz
Haya sasa .wewe unafikiri hii ni breaking news? Jifunze kwanza kabla ya kupost
Hello All
Nihitaji kupatata ufahaku kuwa kati ya masomo hapo juu ni lipi kati ya hayo yanalipa na maana hata mshahara wake unakuwa mziri plz
kwangu inaweza kua kama BNewz au unasemaje just toa ushauri wako first
then hayo mengine yafuata
Inategemea na akili ulizonazo ukiwa darasani. Si kila mtu anaweza kusoma lolote kati ya hayo, inawezekana usiweze hata moja. Ili ufanye vizuri, ni vyema ukayafanya hayo katika level ya Chuo Kikuu, na si ufanye kwa kuwa unatafuta cha kusoma baada ya kufeli kidato cha nne !! Hayo yote inabidi uwe na background nzuri ya masomo ya sayansi (at least Mathematics na Physics). Ukishasoma na kuelewa vizuri, then ndo utafute kazi especially ya kujiajiri. Lakini jinsi ulivyoandika, ni kama vile unaona kusoma ni rahisi kuliko kupata kazi.
mkuu blame your qualification......huwezi kuniambia mtu ana mavyeti ya kueleweka OCE OCP MCSE MCDA na mengineyo eti ukubali jero kwa siku.....kazi gani unayojifunza kwa jero?usifikirie mshahara mzuri mimi kuna wakati nilikuwa nalipwa shilingi 500 kwa siku lakini nia yangu haikuwa pesa nilitaka kujua kufanya kazi , kujenga uwanja mkubwa wa kufanya kazi na mipango mingi zaidi mshahara haukuwa nia yangu nilivyojua kazi nikajiondoa huko na kwenda kuanzisha maisha yangu
Hembe tatizo hapa bongo hata ukijiajiri huwezi kupewa hizo project kuna huna watu waku-kupigia krosijifunze kuondoa dhana ya kuajiriwa katika ulimwengu huu,unatakiwa kuwa fit ili ufanye projects zako mwenyewe,kama unapenda ajira sana utaishia kuchanganyikiwa mtaani au kupata waajiri wasithamin mchango wako,hvyo kuishia kulaan kwa muda uliopoteza
tujiulize kwanini wahindi wame dominate ICT sector bongo?hallow,
maisha ya kuajiriwa ni ujinga na ni upuuzi mtupu,
hata kama utapata kazi ambayo utakuwa unalipwa vizuri(kama unavyofikiri),it is still non sense,
think a lot about kujiajiri...
makampuni yenyewe hapa town yamekamatwa na wahindi na makaburu,do you think even if you do programing well,or whatever networking or anything they will pay you well?
liberate your mind my dear...
better think of been an interprenour..
thanks
hallow,
maisha ya kuajiriwa ni ujinga na ni upuuzi mtupu,
hata kama utapata kazi ambayo utakuwa unalipwa vizuri(kama unavyofikiri),it is still non sense,
think a lot about kujiajiri...
makampuni yenyewe hapa town yamekamatwa na wahindi na makaburu,do you think even if you do programing well,or whatever networking or anything they will pay you well?
liberate your mind my dear...
better think of been an interprenour..
thanks
hallow,
maisha ya kuajiriwa ni ujinga na ni upuuzi mtupu,
hata kama utapata kazi ambayo utakuwa unalipwa vizuri(kama unavyofikiri),it is still non sense,
think a lot about kujiajiri...
makampuni yenyewe hapa town yamekamatwa na wahindi na makaburu,do you think even if you do programing well,or whatever networking or anything they will pay you well?
liberate your mind my dear...
better think of been an interprenour..
thanks
Hello All
Nihitaji kupatata ufahaku kuwa kati ya masomo hapo juu ni lipi kati ya hayo yanalipa na maana hata mshahara wake unakuwa mziri plz
Hello All
Nihitaji kupatata ufahaku kuwa kati ya masomo hapo juu ni lipi kati ya hayo yanalipa na maana hata mshahara wake unakuwa mziri plz