FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Bandugu;
Kwa wale wanaotumia network ya Seacom (fiber opic cable ya baharini) Tanzania, inasemekana kuwa mitambo yao ipo chini.
Hii imewaathiri watumiaji wengi wanaopata access ya Internet kwa kupitia makampuni ya simu nchini Tanzania.
Hivyo basi JF kwa watumiaji wa mtandao wa simu Tanzania itakua haipatikani.
Hii ni mara ya pili kwa network ya kampuni ya Seacom kuathirika namna hii.
Kama unamtafuta mtu aliyepo Tanzania na ni mtumiaji wa huduma hii na unamtafuta pia kwa njia ya internet atakua hapokei EMAIL wala kuwa na uwezo wa kujibu.
Haijajulikana mitambo itatengemaa saa ngapi. Hii imeanza mnamo mida ya saa nne asubuhi kwa saa za Tanzania.
MODS ujumbe ukifika mnaweza kuhamisha na kuiweka kwenye Tech.
Mjumbe hauwawi.
Fairplayer
Kwa wale wanaotumia network ya Seacom (fiber opic cable ya baharini) Tanzania, inasemekana kuwa mitambo yao ipo chini.
Hii imewaathiri watumiaji wengi wanaopata access ya Internet kwa kupitia makampuni ya simu nchini Tanzania.
Hivyo basi JF kwa watumiaji wa mtandao wa simu Tanzania itakua haipatikani.
Hii ni mara ya pili kwa network ya kampuni ya Seacom kuathirika namna hii.
Kama unamtafuta mtu aliyepo Tanzania na ni mtumiaji wa huduma hii na unamtafuta pia kwa njia ya internet atakua hapokei EMAIL wala kuwa na uwezo wa kujibu.
Haijajulikana mitambo itatengemaa saa ngapi. Hii imeanza mnamo mida ya saa nne asubuhi kwa saa za Tanzania.
MODS ujumbe ukifika mnaweza kuhamisha na kuiweka kwenye Tech.
Mjumbe hauwawi.
Fairplayer