ebana wakubwa mwenye netbook anauza inahitajika na mm mwnyw' iwe na hdd isiyopungua 160 gb, ram 1 gb.... Ikiwa hp au dell au samsung itakua makini zaidi. Ofa ni 350,000/=. Unayo fanya kuni PM au tuma txt 0655003510
:lol::lol::lol::lol::lol:Mkuu baraka607,vi2 vyako unatubana bei,vya kwetu unataka bei chee! Mwisho wa cku inakula kwetu inashiba kwako,loh
Mkuu baraka607,vi2 vyako unatubana bei,vya kwetu unataka bei chee! Mwisho wa cku inakula kwetu inashiba kwako,loh