Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
wapo well established hata humu jf wamo....,
kuipiga Iran sio sawa na kuzuia maandamano ya wanaharakati wa Tanzania.its gonna be a big war and destructive.kumbuka Obama anakaribia uchaguzi hataki kabisa kuipeleka nchi vitani,,na vile vile anazitaka kura za waisraeli-wamarekani so let see what he will do