Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
kwanza niwapongeze wana JF popote mlipo. Nimejaribu kufuatilia thread nyingi katika forum hii na nimegudua kuwa watanzania wengi wanasubili nini Dr. Slaa atasema ili watekeleze. Hii inaonesha ni namna gani watanzania walifanya maamuzi ambayo hayakupewa thamani.
Tumwombee kwa Mungu Dr. Slaa awe na hekima kuu ili aweze kuivusha nchi hii katika vuguvugu hili ambapo hata aliyetangazwa kuwa mshindi hana furaha na urais wake maana wananchi hawamuungi mkono!
Utaona thread zinasema ... Tunangojea Dr. Slaa atamke, tutekeleze. watz wana imani kubwa naye
JAMANI DONT REDUCE JF TO GARBAGE.
NINA WASI WASI BAADA YA WALIOTUHUMIWA KUWAIBIA KURA WATANZANIA SASA WANAANZISHA MIJADALA YENYE MWELEKO WA UCHOCHEZI WA KUMPINGA RAIS ALIYEAPISHWA KWA MUJIBU WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ILI KUPATA BASIS YA KUIFUNGA JF.
KATIKA MADA YAKO UNADAI KUWA "Nimejaribu kufuatilia thread nyingi katika forum hii na nimegudua kuwa watanzania wengi wanasubili nini Dr. Slaa atasema ili watekeleze" WHAT IS THE RELATIONSHIP BETWEEN IDADI YA WANAJF NA WATANZANIA WENGI ULIODAI WANASUBIRI KAULI YA DR SLAA?
UMEENDELEA KATIA MADA YAKO KUWA "ambapo hata aliyetangazwa kuwa mshindi hana furaha na urais wake maana wananchi hawamuungi mkono!" HUU NI OUT RIGHT UCHOCHEZI WENYE NIA YA KUWAINGIZA WENGINE MKENGE. NAOMBA USHAHIDI KUWA WANANCHI WA TANZANIA HAWAMUUNGI ALIYETANGAZWA NA KUWA MSHINDI; NA KWA KUWA ULIKUWA UNAMAKE REFEENCE KWENYE UCHAGUZI MKUU NA DR SLAA BILA SHAKA UNAMLENGA MHE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR JAKAYA KIKWETE. VILE VILE TUPE USHAHIDI NA UTUELEZE VIPIMO VYAKO VYA KUBIANI FURAHA YA MTU?