Elections 2010 Neno moja la dr. Slaa linaweza kubadilisha nchi

QUALITY

JF-Expert Member
Sep 27, 2010
853
115
kwanza niwapongeze wana JF popote mlipo. Nimejaribu kufuatilia thread nyingi katika forum hii na nimegudua kuwa watanzania wengi wanasubili nini Dr. Slaa atasema ili watekeleze. Hii inaonesha ni namna gani watanzania walifanya maamuzi ambayo hayakupewa thamani.

Tumwombee kwa Mungu Dr. Slaa awe na hekima kuu ili aweze kuivusha nchi hii katika vuguvugu hili ambapo hata aliyetangazwa kuwa mshindi hana furaha na urais wake maana wananchi hawamuungi mkono!

Utaona thread zinasema ... Tunangojea Dr. Slaa atamke, tutekeleze. watz wana imani kubwa naye
 
Hayo uyasemayo ni ya kweli sehemu nyingi amebatizwa jina la; 'Kamanda". Neno lake linasubiriwa kwa shauku kubwa kila upande. Tumuombee kwa Mungu aendelee kumpa busara ili aweze kuvusha nchi yetu katika kipindi hiki kigumu.
 
Yule Dr (PhD) msiwe na shaka kabisa sasa hivi nadhani swala la msingi ni kujipanga na kuona tunafanyaje kuiendeleza nchi yetu na kuona tunafanyaje kuwatoa moja kwa moja mafisadi 2015.. Viva Slaa!!:yield:
 
Nashauri amwachie Mungu yaliyotokea, kisha turudi kujenga chama toka kwenye mashina, kata, na wilaya nchi nzima. Pili tudai kwa nguvu zote tume huru ya uchaguzi halafu mwaka 2015 sio mbali kwani itakuwa ni haki iliyocheleweshwa
 
Wiser man alwaya he waits and hope.
I hope to hear from him soon.
Mafisadi wanahaha kila kona wakihofia tamko lake maana jamaa anaweza kuiamrisha serikali ikafanya kazi au isimame.
Them fear him big time.
 
Kitu kimoja mnasahau ni kwamba Dr. (Phd) Slaa ni katibu wa chama kwa hiyo yeye binafsi hawezi kutoa tamko bila kukishirikisha chama...

Tamko lolote tutakalosikia litakuwa ni tamko la chama lililopewa baraka na vikao vyote husika.
 
Hayo uyasemayo ni ya kweli sehemu nyingi amebatizwa jina la; 'Kamanda". Neno lake linasubiriwa kwa shauku kubwa kila upande. Tumuombee kwa Mungu aendelee kumpa busara ili aweze kuvusha nchi yetu katika kipindi hiki kigumu.

Amen. Kweli kipindi ni kigumu. kimya .... kimya .... kimya tu. Iko siku watanzania nao watatabasamu...
 
kwanza niwapongeze wana JF popote mlipo. Nimejaribu kufuatilia thread nyingi katika forum hii na nimegudua kuwa watanzania wengi wanasubili nini Dr. Slaa atasema ili watekeleze. Hii inaonesha ni namna gani watanzania walifanya maamuzi ambayo hayakupewa thamani.

Tumwombee kwa Mungu Dr. Slaa awe na hekima kuu ili aweze kuivusha nchi hii katika vuguvugu hili ambapo hata aliyetangazwa kuwa mshindi hana furaha na urais wake maana wananchi hawamuungi mkono!

Utaona thread zinasema ... Tunangojea Dr. Slaa atamke, tutekeleze. watz wana imani kubwa naye


Hana lolote wala chochote. Hii ni forum maalum ya Chadema na kila anepingana na Padre Dr wa Kikatoliki Slaa basi anafungiwa.

Ameangukia pua sasa anaugulia.
 
Nashauri amwachie Mungu yaliyotokea, kisha turudi kujenga chama toka kwenye mashina, kata, na wilaya nchi nzima. Pili tudai kwa nguvu zote tume huru ya uchaguzi halafu mwaka 2015 sio mbali kwani itakuwa ni haki iliyocheleweshwa

Nakubaliana na wewe kwa 100%. kwa sasa hali ni tete, asikudanganye mtu. Kinachosubiliwa ni staregy ya kutoka ikiwa ni pamoja na maneno atakayosema Slaa kwa watanzaania ili kuwapoza mioyo yao. maana wana shauku kubwa kumsikia Rais wao.

Suala la kujenga Chama liko wazi hilo pia litakuwa ni neno kila mchukia Ufisadi atafurahi.... Keep your hope alive.
 
Kitu kimoja mnasahau ni kwamba Dr. (Phd) Slaa ni katibu wa chama kwa hiyo yeye binafsi hawezi kutoa tamko bila kukishirikisha chama...

Tamko lolote tutakalosikia litakuwa ni tamko la chama lililopewa baraka na vikao vyote husika.

Big Up
 
Hana lolote wala chochote. Hii ni forum maalum ya Chadema na kila anepingana na Padre Dr wa Kikatoliki Slaa basi anafungiwa.

Ameangukia pua sasa anaugulia.
[/B]

Si dhani. maana hata mawazo yako ni safi kabisa. Lakini katika tanzania tuna mafisadi wangapi ukilinganisha na wasio mafisadi? Obviousily mafisadi hasa hawazidi 11 na mashabiki wao hamzidi 2million. sasa unaona ratio yenyewe!!!

naamini JF siyo ya CHADEMA bali nionavyo wengi ni wapenda haki.
 
Hana lolote wala chochote. Hii ni forum maalum ya Chadema na kila anepingana na Padre Dr wa Kikatoliki Slaa basi anafungiwa.

Ameangukia pua sasa anaugulia.
[/B]

Mungu akusamehe maana hujui unenayo. Naamini kabisa wewe kama huna masilahi binafsi na CCM au selikali, basi utakuwa either elimu yako ndogo au ni mjinga huwezi kuwaza na kuwazua mambo magumu, mapana, manene na marefu.

Angalia maeneo yote ya Tanzania ambayo yana maendeleo Dr. Slaa (ama Chadema) wamefanya vizuri ikiwa ni pamoja na kuchukua majimbo (Mbeya mjini, Arusha, Mwanza, Moshi, Dar, Shinyanga) lakini sehemu ambazo maendeleo hakuna CCM wamepata ushindi (wakisaidiwa na uchakachuaji). Hii inakupa picha gani?

Dr. Slaa sema neno moja na Nchi hii itapona.
 
Wiser man alwaya he waits and hope.
I hope to hear from him soon.
Mafisadi wanahaha kila kona wakihofia tamko lake maana jamaa anaweza kuiamrisha serikali ikafanya kazi au isimame.
Them fear him big time.

Them belly full, n we are hungry,
A hungry man is an angry man
An Angry man is a danger man.....

But we will survive, no matter what they do
We have no fear of them atomic energy,
We got to full fill our goal,

How long shall they kill our Profits ,
While we stand aside an Look?

Com dr, come, we got to start now, NOWWWWWWWWWW!!!!
 
mungu akusamehe maana hujui unenayo. Naamini kabisa wewe kama huna masilahi binafsi na ccm au selikali, basi utakuwa either elimu yako ndogo au ni mjinga huwezi kuwaza na kuwazua mambo magumu, mapana, manene na marefu.

Angalia maeneo yote ya tanzania ambayo yana maendeleo dr. Slaa (ama chadema) wamefanya vizuri ikiwa ni pamoja na kuchukua majimbo (mbeya mjini, arusha, mwanza, moshi, dar, shinyanga) lakini sehemu ambazo maendeleo hakuna ccm wamepata ushindi (wakisaidiwa na uchakachuaji). Hii inakupa picha gani?

Dr. Slaa sema neno moja na nchi hii itapona.
thank you very much .dr slaa say one word and the country shall be healed.kama ni kuingia mtaani acha tuingie maana si ccm wala chadema tutaumia wote hakuna kmaendeleo ya kweli ni mpaka afe mtu .
 
Nashauri amwachie Mungu yaliyotokea, kisha turudi kujenga chama toka kwenye mashina, kata, na wilaya nchi nzima. Pili tudai kwa nguvu zote tume huru ya uchaguzi halafu mwaka 2015 sio mbali kwani itakuwa ni haki iliyocheleweshwa

Lakini Mungu hapendi wizi wa kura na kuwanyima watu haki zao. Nakubaliana na mtoa mada wengi wanasubiri kwa hamu neno kutoka kwa Dr. Slaa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom