Huu umekuwa ni msamiati mpya kwangu na unatumika sana hapa JF
hivi hili neno hasa lina maana gani? "MASABURI"
MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu
Duh! Nimecheka sana wakuu!Saburi,masaburi=kalio/makalio.
OTIS.
MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu
MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu