Neno "Masaburi" Lina maana gani?

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Huu umekuwa ni msamiati mpya kwangu na unatumika sana hapa JF
hivi hili neno hasa lina maana gani? "MASABURI"
 
Huu umekuwa ni msamiati mpya kwangu na unatumika sana hapa JF
hivi hili neno hasa lina maana gani? "MASABURI"

MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu
 
MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu

Saburi,masaburi=kalio/makalio.
OTIS.
Duh! Nimecheka sana wakuu!
 
MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu

Masaburi siyo kiongozi wa halmashauri ya kinondoni bali ni MEYA WA jiji la DAr es salaam!!!!!
 
Kwani mkuu wewe huwa unafikiria kwa kutumia nini? Hahahaaa JF full shangwe bana, Masaburi ni MSIMU (msiamiati wa muda) unaomaanisha makalio kama ilivyoelezwa vema hapo juu na kama utakomaa (ukiendelea kutumika) basi utaingia kwenye matumizi zaidi kama neno KIHIYO ambalo kwa hakika ni jina la mtu lakini sasa it means mtu asie muelewa!!! Duh kaazi kweli wewe na wewe umefikiria kwa kutumia nini??? kazi ni kwako
 
MASABURI ni kiongozi mmoja mkubwa tu katika halimashauri ya manispaa ya Kinondoni. Lilipoibubuka suala la uzwaji holela wa UDA (Usafiri Dar es salaam) viongozi ndani ya manispaa wakaanza kuthumiana. Didas Masaburi, kujibu mapigo, akatumia media kuwashambulia mahasimu wake akiwemo Zungu-mb, kuwa wanafikiria kwa kutumia makalio. baada ya kuwatukana, hivyo, hapa JF, ukiandika kitu halafu mtu asikubaliane na wewe, anaamini hujafikiri kwa kutumia kichwa chako, bali umetumia makalio. Kupunguza ukali wa maneno, basi atakucoment, umetumia UMASABURI- yaani umefikiri kwa makalio na sio kichwa. Ndivyo ninavyofahamu

umemweleza vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom