Gamariel
Member
- Sep 8, 2009
- 82
- 6
jamani naomba mnisaidie kiswahili fasaha juu ya wingi wa neno albino. Mara nyingi watu wamekuwa wakiwaita walemavu wa ngozi maalbino jambo ambalo kwa mtazamo wangu naona kama sio sahihi. Mfano mtu mwenye ngozi nyeupe huitwa mzungu na wingi wake huitwa wazungu, mtu mwenye ngozi nyeusi huitwa mwafrika na wingi wake huitwa waafrika. sasa kwanini albino asiitwe waalbino kwa wingi wake? nisaidieni