Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Umemwachia mia nne abaki nazo, na umenunua karanga za mia tatu.
Kwa hiyo umetoa tip ya shilingi mia. Sio mbaya, ubarikiwe. Lakini tip ya shilingi mia sio ya kuianzishia thread!
huna macho wala masikio wala ubongo. Kifupi u dont exist