Bongo mjomba maana yake ni ujanjaujanja tu watu wanatumia ubongo tu kuishi hayo mengine sijui bongo Flavour na mengineyo ni vionjo tUJamani wana jf naomba mnieleweshe kuhusu hili jina la BONGO nimekuwa nalisikia siku nyingi sasa na pegine kuunganishwa na maneno mengine kama BONGO FLAVOR , kwetu BONGO , KI-BONGOBONGO Nakadhalika -- natanguliza shukran
Hapana.Ilitokana na ukweli kwamba hapo awali na pengine sasa kuishi Dar ilikuwa utumie akili fulani ya ujanja,kichwa vinginevyo ungeshindwa.
Ulichoandika we'we na alichoandika bakaringazija Ni kitu kimoja maudhui yafananayo. Tofauti Ni utumizi wa maneno lakini yenye lengo moja.Hapana.Ilitokana na ukweli kwamba hapo awali na pengine sasa kuishi Dar ilikuwa utumie akili fulani ya ujanja,kichwa vinginevyo ungeshindwa.