Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
Kwakweli kiswahili kinazidi kupaa.
Zamani mtu alikuwa akisafiri kwenda Dar alitumia msemo naenda BONGO. Hivi sasa hata mtu anaeishi nje ya Dar anasema yeye mbongo pengine anamaanisha yeye M-TZ.
Maswali yangu;
Je, bongo maana yake ni Dar au Tanzania?
Inahusiana nini Dar au Tanzania?
Pia nitafurahi kama mtanijuza hili jina lilianza kufahamika lini na nani mwanzilishi.
Zamani mtu alikuwa akisafiri kwenda Dar alitumia msemo naenda BONGO. Hivi sasa hata mtu anaeishi nje ya Dar anasema yeye mbongo pengine anamaanisha yeye M-TZ.
Maswali yangu;
Je, bongo maana yake ni Dar au Tanzania?
Inahusiana nini Dar au Tanzania?
Pia nitafurahi kama mtanijuza hili jina lilianza kufahamika lini na nani mwanzilishi.
Jamani wanaJF,
Naomba mnieleweshe kuhusu hili jina la BONGO. Nimekuwa nalisikia siku nyingi sasa na pengine kuunganishwa na maneno mengine kama BONGO FLAVOR , kwetu BONGO , KI-BONGOBONGO Na kadhalika.
Natanguliza shukrani