Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Wamkumbuka huyu Bibie/mama kutokea mitaa ya Sweden aliyekuwa akitamba sana miaka ya 80 kama mwimbaji na Mfokafokaji (Rapper) huku akivaa Bling blingkubwa ya $$? Oyaaa, bado yupo ingawa pana wakati nilimuona akiimba Rock Music kwa nguvu sana na akiwa amevaa kichakalamu kama waimbaji Rock walivyo.
Hapa anaonekana akina na kimashine ya kukuna nazi kiitwacho COCONUT GRATER. Kwa mlioko majuu nasikia unaweza kununua kwenye minada kama EBAY wana wanakuletea. Ni kidude safi sana na kinaweza kukufanya ukawa unakula msosi kama wali kwa nazi, nyaaaamm!!!!
Angalia mwenyewe, kwanza akiwa kama mwimbaji na kibao chake maarufu...... Najua wengine watasema ule wimbo wa Seven Second alioimba na Youssour N'dour. Anyway, ule alishirikiana na mtu ila huu ni wake peke yake.
Hapa akikuna nazi ki-ulaya ulaya, lohhh
NB: Tupunguze stress za leo za Mkapa vs Vinsent Nyerere.
Hapa anaonekana akina na kimashine ya kukuna nazi kiitwacho COCONUT GRATER. Kwa mlioko majuu nasikia unaweza kununua kwenye minada kama EBAY wana wanakuletea. Ni kidude safi sana na kinaweza kukufanya ukawa unakula msosi kama wali kwa nazi, nyaaaamm!!!!
Angalia mwenyewe, kwanza akiwa kama mwimbaji na kibao chake maarufu...... Najua wengine watasema ule wimbo wa Seven Second alioimba na Youssour N'dour. Anyway, ule alishirikiana na mtu ila huu ni wake peke yake.
Hapa akikuna nazi ki-ulaya ulaya, lohhh
NB: Tupunguze stress za leo za Mkapa vs Vinsent Nyerere.
Last edited by a moderator: