kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 707 Aug 18, 2012 #1 usijekuishia kupupu siku hizi mpango mzima ni umeingia bank mara ngapi kwa mwezi
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,328 67,754 Aug 18, 2012 #2 Anatafuta mbavu nene ili awachengue mademu lol
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,485 9,515 Aug 18, 2012 #3 Mwili wenyewe kama anakula cement!? bange hizi!!
kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 707 Aug 18, 2012 Thread starter #4 King Kong III said: Anatafuta mbavu nene ili awachengue mademu lol Click to expand... mwambie siku hizi madebu wanchenguliwa na vi rav 4 short chassis
King Kong III said: Anatafuta mbavu nene ili awachengue mademu lol Click to expand... mwambie siku hizi madebu wanchenguliwa na vi rav 4 short chassis
kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 707 Aug 18, 2012 Thread starter #5 Baba V said: Mwili wenyewe kama anakula cement!? bange hizi!! Click to expand... hahahahahahah nimecheka kweli eti kamwili kama anakula cement
Baba V said: Mwili wenyewe kama anakula cement!? bange hizi!! Click to expand... hahahahahahah nimecheka kweli eti kamwili kama anakula cement
NdasheneMbandu JF-Expert Member Jan 2, 2012 940 308 Aug 19, 2012 #6 Mbona amefanana na superstar mmoja wa mikanda ya x!!! Au ni mwenyewe.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,511 28,410 Aug 19, 2012 #7 NdasheneMbandu said: Mbona amefanana na superstar mmoja wa mikanda ya x!!! Au ni mwenyewe. Click to expand... Una maana yule naniliu........
NdasheneMbandu said: Mbona amefanana na superstar mmoja wa mikanda ya x!!! Au ni mwenyewe. Click to expand... Una maana yule naniliu........
Asulo JF-Expert Member Jun 25, 2012 719 251 Aug 19, 2012 #8 Duuh!!! Hayo mazoezi yamevamiwa..huko ni kujitanua misuli au kujiumiza?
M markj JF-Expert Member Jul 6, 2012 1,778 685 Aug 19, 2012 #9 kwaiyo majogooo za mtani kwingine azikojoi mtaani kwetu hapa! huyu dogoookumanga
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,042 16,041 Aug 19, 2012 #11 anatafuta ile six ..... Aghrrr wanaita nini vile?
Nambe JF-Expert Member Jan 18, 2011 1,451 528 Aug 20, 2012 #12 kaaaaaaaaaaaaaaz kweli kweli........ yote hyo kuwaimpress`wadada.......lol
Philipo Kidwanga JF-Expert Member Jul 12, 2012 2,042 599 Aug 21, 2012 #13 kwa mwili huo badala ya kumwomba mungu amwepushie matatizo yeye anatafuta sababu ya kujikill
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Aug 21, 2012 #14 Inguinal Hernia waits 4 u Brother.:israel: