Nenda Bob kamsalimie shelembi na chacha Wangwe

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Mzee RASHIDI MAKANI...(R.I.P)

NI PIGO PIA KWA MCHEZO WA SOKA

Akiwa kijana na mwanafunzi wa tabora school alionyesha kipawa cha hali ya juu kwa kucheza mpira.

Jambo hilo lilivuta hisia za wanafunza wenzake juu ya umahiri wake wa kucheza soka.

Ndipo mwanafunzi mwenzake aliyejulikana kama Rajabu Kanyama akamtunga jina la Bob Makani.

Lifahamikalo mpaka Leo.

Atakumbukwa kwa busara na upeo wake katika kujua umuhimu wa nguvu moja katika upinzani...

ndipo hata mwaka 2000 alikubaliana na CUF kugawana majimbo ya kugombea kulingana na nguvu ya chama na mahali husika.

Pia alikubaliCUF na CHADEMA kuwa na mgombea mmoja wa Urais na walimuunga mkono Prof Lipumba.

Leo kaondoka kawacha wapinzani wakitukanana na kuitana CCM B Mara mamluki..

mara magwanda mara makamanda...

MAKANI TANGULIA MAKANI RASHID BOBU.. NTAKUKUMBUKA DAIMA...

Inalillah wainailahna Rajiuun..
 
Mzee RASHIDI MAKANI...(R.I.P)

NI PIGO PIA KWA MCHEZO WA SOKA

Akiwa kijana na mwanafunzi wa tabora school alionyesha kipawa cha hali ya juu kwa kucheza mpira.

Jambo hilo lilivuta hisia za wanafunza wenzake juu ya umahiri wake wa kucheza soka.

Ndipo mwanafunzi mwenzake aliyejulikana kama Rajabu Kanyama akamtunga jina la Bob Makani.

Lifahamikalo mpaka Leo.

Atakumbukwa kwa busara na upeo wake katika kujua umuhimu wa nguvu moja katika upinzani...

ndipo hata mwaka 2000 alikubaliana na CUF kugawana majimbo ya kugombea kulingana na nguvu ya chama na mahali husika.

Pia alikubaliCUF na CHADEMA kuwa na mgombea mmoja wa Urais na walimuunga mkono Prof Lipumba.

Leo kaondoka kawacha wapinzani wakitukanana na kuitana CCM B Mara mamluki..

mara magwanda mara makamanda...

MAKANI TANGULIA MAKANI RASHID BOBU.. NTAKUKUMBUKA DAIMA...

Inalillah wainailahna Rajiuun..

CCM B acheni porojo kwenye msiba huu mzito wa mpiganaji wetu
 
kashinje Masanja bange zako kumbe zinafanya kazi mpk huku? Me nilijua zinaishia facebook tu
 
Aitwa Mohamed na si Rashidi,
Alikuwa mpiagania haki wa kweli
Hakuwa mnafiki
Alisema kweli hata pale wananchi walipoaamua kuuza utu wao kwa kuuza haki yao ya kupiga
kura,na wakati mwingine aliwaita vijana wanafiki kwa kumshangilia bila kujiandikisha
Ndiye aliyetoa zao la hayati Shirembe Magadula na kumkabidhi mikoba ya siasa za Shinyanga.
 
Back
Top Bottom