TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Mzee RASHIDI MAKANI...(R.I.P)
NI PIGO PIA KWA MCHEZO WA SOKA
Akiwa kijana na mwanafunzi wa tabora school alionyesha kipawa cha hali ya juu kwa kucheza mpira.
Jambo hilo lilivuta hisia za wanafunza wenzake juu ya umahiri wake wa kucheza soka.
Ndipo mwanafunzi mwenzake aliyejulikana kama Rajabu Kanyama akamtunga jina la Bob Makani.
Lifahamikalo mpaka Leo.
Atakumbukwa kwa busara na upeo wake katika kujua umuhimu wa nguvu moja katika upinzani...
ndipo hata mwaka 2000 alikubaliana na CUF kugawana majimbo ya kugombea kulingana na nguvu ya chama na mahali husika.
Pia alikubaliCUF na CHADEMA kuwa na mgombea mmoja wa Urais na walimuunga mkono Prof Lipumba.
Leo kaondoka kawacha wapinzani wakitukanana na kuitana CCM B Mara mamluki..
mara magwanda mara makamanda...
MAKANI TANGULIA MAKANI RASHID BOBU.. NTAKUKUMBUKA DAIMA...
Inalillah wainailahna Rajiuun..
NI PIGO PIA KWA MCHEZO WA SOKA
Akiwa kijana na mwanafunzi wa tabora school alionyesha kipawa cha hali ya juu kwa kucheza mpira.
Jambo hilo lilivuta hisia za wanafunza wenzake juu ya umahiri wake wa kucheza soka.
Ndipo mwanafunzi mwenzake aliyejulikana kama Rajabu Kanyama akamtunga jina la Bob Makani.
Lifahamikalo mpaka Leo.
Atakumbukwa kwa busara na upeo wake katika kujua umuhimu wa nguvu moja katika upinzani...
ndipo hata mwaka 2000 alikubaliana na CUF kugawana majimbo ya kugombea kulingana na nguvu ya chama na mahali husika.
Pia alikubaliCUF na CHADEMA kuwa na mgombea mmoja wa Urais na walimuunga mkono Prof Lipumba.
Leo kaondoka kawacha wapinzani wakitukanana na kuitana CCM B Mara mamluki..
mara magwanda mara makamanda...
MAKANI TANGULIA MAKANI RASHID BOBU.. NTAKUKUMBUKA DAIMA...
Inalillah wainailahna Rajiuun..