Nembo ya TISS na Ikulu

Status
Not open for further replies.
kazi hipo naona watu wanashambulia sana cha msingi ni kumuuliza Rashid othmani kwani yeye ndio mwenyewe ...mabomu mengine yakilipuka nadhani mwezi ujao tutamuuliza nembo yao
 
Hii ndio nembo na bendera ya Rais wa JMT:

Tanzania_President_Flag-721.gif




 
mleta mada amekuja na hoja nzuri lakini watu wameichakachuwa japo ipo inachekesha sana...sasa turidi kwenye mada mimi pia nina taka kujua nembo wa TISS
 
Hiyo picha ya huyu muzee imenitengenezea jioni yangu ha ha ha ha ha ha aha ha aha aha h:lol:
 
Kwetu sumbawanga ukifukua sana maisha ya jirani yako unaitwa mchawi!!!!!! Tumia ungo pepea usiku nenda hadi TISS kaibe nembo yao kisha tuleetee hapa na sisi tuone
 
Status
Not open for further replies.
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom