Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
Naomba kufahamishwa kwa nini katika nembo za kada za afya(sina hakika kama ni zote) zina nyoka.Nyoka ni alama ya nini,anawakilisha nini na kwa nini nyoka isiwe chura au binadamu.Nakumbuka katika nembo ya pharmacy kuna nyoka na hata katika nembo ya Muhimbili kuna nyoka pia si chuo si hospitali.
Naomba kuelimishwa tafadhari.
Naomba kuelimishwa tafadhari.