Pole. Nijuavyo mimi walishaajiri siku nyingi. Kuna dada tunafanya naye kazi aliomba PR na ameshaajiriwa tangu January mwanzoni. Kazi kwetu kaacha kaenda huko maana mshahara ni mkubwa sana. Jaribu kufuatilia uone labda unaweza kubahatika.
Pole. Nijuavyo mimi walishaajiri siku nyingi. Kuna dada tunafanya naye kazi aliomba PR na ameshaajiriwa tangu January mwanzoni. Kazi kwetu kaacha kaenda huko maana mshahara ni mkubwa sana. Jaribu kufuatilia uone labda unaweza kubahatika.
Mariavictima are you serious? Mimi ninafahamu jamaa watatu waliomba nafasi hizo tangia December last year na hakuna hata mmojawao aliyeitwa angalau kwenye Interview na wote wana sifa mmojawapo ni Senior Lecturer yuko UDSM. Sasa kama hata yeye hakuitwa angalu kwenye interview tu, basi ninaweza kuamini ni mambo ya VIMEMO na hii itaharibu Jina zuri la NELSON MANDELA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.