King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
mkuu, kichuguu na mlima inaweza kufananishwa.....kichuguu ni kidogo na mlima ni mkubwa.......hiyo hapo juu ni kama ile michezo ya kutoa kitu kisichofanana.....yaani unapewa group lenye vitu vitatu, chumvi, sukari na vocha ya LUKU halafu unaambiwa utoe kitu ambacho hakitakiwi kuwepo kwenye hilo group.
hapo umenena mkuu, yaani huyu JK wa Msando hafananii kabisa, kama zingekuwa hesabu za probability anapata 0.00000000001 aproaches to zero kumfananisha na hawa wazee wetu mahiri.